
*Kutopata mapenzi ya kweli hasa ikiwa Kijana/Binti alilazimishwa kuoa/kuolewa na mtu ambaye hakumpenda “for the sake of Radhi ya Wazazi”, maadili, kuhofia umri n.k..
*Uchafu, kutojijali au kujipenda.-Wote mwanaumena mwanake.
*Kutoridhika au kutosheka na wakati mwingine uroho tu- Wanaume zaidi.
*Mmoja wenu kuwa na shughuli nyingi za kikazi/Biashara, kusafiri – Wote mwanamke na mwanaume..
*Tamaa ya kumiliki vitu Fulani –Wanawake zaidi.
*Kujaribu na kujifunza mambo mapya/mitindo lakini kutokana kufuata maadili unaogopa kuwa wazi kwa mpenzi wako-Wake kwa waume..
*Kukosa tendo la ndoa kwa muda mrefu ikiwa mwanamke ana Mimba kubwa /amejifungua n.k-Wanaume.
No comments:
Post a Comment