Friday, March 27, 2009

Chumvini-Ulimi Kwenye Kuma

Chumvini-Ulimi Kwenye Kuma

Kwanza unatakiwa utambue kuwa baadhi ya wanawake hawako huru kukuachia wewe mwanaume ukodolee macho kwenye Kuma yake hivyo kama unampango wa “kumshukia chini” basi utalazimika au niseme hakikisha kuwa unamuandaa kwa kusifia Kuma yake, harufu asilia ya Kuma yake , mhakikishie kuwa hakuna kitu kinakufurahisha/kupa raha kama kuangalia mandhali ya Kuma yake, mwambie vipi unapenda anyoe nywele zake za huko (mnyoe ukiweza) n.k

Pamoja na juhudi zako za kusifia hakikisha unaonyesha kwa vitendo kuwa unatukuza uumbaji wa Kuma yake(unamaanisha unayosema hapo juu)…..mfano

1-Nusa chupi yake hasa pale katikati ikiwa imelowa kutokana na “kunyegeka”.

2-Ibusu (kwa juu) au busu eneo la Kuma hata kama ni mbali kidogo kwamba sehemu ya kiunoni kwa kuanzia, vilevile mnapokuwa tayari kulala weka mkono wako juu ya K yake mpaka upitiwe/apitiwe na singizi.

3-Cheza na Kuma yake kabla ya kufanya mapenzi, kwamba ichezee na vidole kisha vilambe.

4-Sifia jinsi ilivyokuwa siku iliyopita mlipokuwa mkifanya mapenzi MF-“ unam-sms kwa kusemakuwa “kila nikikumbuka ilivyotuna/lainika unasikia raha sana” n.k.

Bikira wa chumvini.

Fanya zoezi hili la ulimi; kwa kujiangalia kwenye kioo toa ncha ya ulimi wako bila kupanua mdomo wako na bila kuung’ata na meno yako kisha upeleke ulimi huo mbele na nyuma, huku na huko taratibu, kisha chora # 8 kidoleni kwako mara mbili alafu kinyonye kidole hicho kama vile unalamba mabaki ya kitu kitamu .

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Jinsi ya Kukata Kiuno

Jinsi ya Kufurahisha mwanamke Katika Ngono

Chumvini-Kunyonya Kuma

Ukamilifu wa mwanamke katika Ngono

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

Ngono ni sanaa

Mwanamke na kufika kileleni

Kutongonolewa vema

Uwazi katika ngono

No comments:

Post a Comment