Tuesday, March 31, 2009

Tukifika mzunguuko wa 3 ni balaa

Tukifika mzunguuko wa 3 ni balaa!

Ngono ni sanaa

Jinsi ya Kusaidia Mmeo ktk Ngono

Uwazi katika ngono


"Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 27, tatizo nililonalo ni kwamba kila nikifanya mapenzi na mpenzi wangu niliyenae napata Maumivu makali sana hasa kuanzia round ya 3 na kuendelea huwa si enjoy kabisaa.

Mpaka inafika wakati mpenzi wangu anaogopa kuendelea na hicho kitendo na pia inamuthiri kisaikolojia maana akishaniandaa akisema aingize tu anapata wasiwasi kama naumia na hapo hapo uume wake unasinyaa. Hata mimi Kisaikolojia huwa ninakuwa na wasiwasi najua akiingiza tu napata maumivu badala ya utamu,


Nisaidie kunishauri hasa Tatizo ni nini? kwakweli Mpenzi wangu amejaliwa kwa maumbile na Mara zote huwa Tunatumia kondom hatuwaji bila kondom, japo kuna wakati huwa siskii maumivu sana na enjoy tu, nipo kwenye dilema, sijui ni hizi kondom au ni maumbile. I used to enjoy making love kabla ya huyu nilienae lakini naamini naweza kuendelea kuenou tena."

Jawabu:
Kama ulivyosema kuwa mpenzi wako anamaumbile makubwa(amejaaliwa) huenda hilo likawa tatizo mnapofikia mzunguko wa tatu, vilevile inawezekana huwa hauna ute wa kutosha (kwa baadhi ya wanawake mzunguuko wa 3 huitaji kilainisho cha ziada kama mate au Kay Jel) hali inayoweza kukusababishia "sore" ukeni na hivyo kuhisi maumivu pale unapoingiliwa.


Pia inawezekana mpenzi wako anakwenda mwendo mrefu zaidi hali inayoweza kusababisha mafuta ya Condom kukauka, ute wako kidogo kukauka na uke kuwa mkavu bila yeye kujua....kwa kawaida ukitumia Condom kwa zaidi ya dakika 15 au pale unapohisi ukavu unapaswa kubadilisha na kuvaa mpya.


Unajua baadhi ya wanaume wanaongeza "mwendo" kutokana na mzunguuko, mfano ikiwa mzunguuko wa kwanza ulimalizika haraka labda ndani ya Dk 10, mzunguuko wa pili unaweza kumchukua Dk30, Mzunguuko wa tatu ukaenda Dk45 mpaka saa na kuendelea. Hivyo inawezekana kabisa kuwa mpenzi wako huwa anakwenda mwendo mrefu mpaka wewe unaishiwa hamu ya kuendelea.....pamoja na kuwa alikuandaa na akaindia vizuri hali hubadilika kutokana na "urefu wa safari".


Kitu kingine inawezekana ni mkao/mtindo mnaotumia kufanya mapenzi, kumbuka kuna mikao/mitindo mingine husababisha maumivu kwa mwanamke lakini utamu kwa mwanaume, hivyo unapaswa kutambua mikao gani inawafaa wote wawili au kubadili kila baada ya muda fulani kuliko kushupalia mkao.mtindo mmoja mwanzo mpaka mwisho.....hasa kama mkao huo ndio unakusababishia Discomfort.


Nini cha kufanya-Kama hustahimili mzunguuko wa tatu ambao labda ni mrefu lakini yeye haridhiki mpaka apige bao la tatu basi msaidie kwa kumpa mikono au mdomo na utakapohisi kuwa anakaribia jirushe au jigeuze ili akuingilie ukeni wakati bado uko "tayari" hali itakayokufanya uepuke maumivu kwani hatokupeleka mwendo mreeeefu nakusababisha maumivu.

Nina mimba ya miezi 8, salama kungonoka

Nina mimba ya miezi 8, salama kungonoka?


"Mie ni msichana wa umri wa miaka 23,nimepata ujauzito wa rafiki yangu wa kiume wa miaka takribani 5, tulianza kufanya mapenzi mwaka jana tu yani baada ya miaka minne ya uhusiano wetu sasa maswali niliyonayo ni haya:kwanza sijafanikiwa kuskia utamu wa ku-come nikitombwa mie huskia kama nililambwa kisimi
tu ntaanzaje kuskia hivo?

Nimefanya mapenzi mara tatu tu! ya tatu ndo nimepata ujauzito na sijafanya tena kwakuwa boyfriend alikuwa kikazi marekani ila anarudi jumatatu hii na tutafanya mapenzi.

Nina mimba ya miezi 8, je is it safe kufanya mapenzi? na style gani zitamchengua?nikivaa shanga je ntachemsha na mtumbo wangu?Nipo freshi kiafya sina matatizo ya ujauzito...nashukuru ...".

Jibu: Awww umeshika mimba kabla hujautambua na kuujua mwili wako vizuri, kwanini hukutumia Condom? Usijali wala kujisikia vibaya kwani hatuwezi kubadili kilichotokea lakini naamini kabisa mara tu baada ya kujifungua na Mpenzi wako akiwa karibu utafanikiwa kuujua utamu wa kufanya mapenzi/ngono.

Kwa kuanzia mpenzi wako akija mwambie akupe ngono ya mdomo (akushukie chini) na kucheza na kisimi hakika utapata utamu wa ngono ukoje.......

Ikiwa Dakitari au Mkunga wako hajasema kama una matatizo yeyote basi utakuwa salama kabisa kufanya mapenzi japokuwa unapaswa kuwa mwangalifu usije ukakorofisha au kushitua mambo mengine kabla ya wakati. Miezi nane ni mingi au niseme tumbo ni kubwa sana na hata wewe mwenyewe utakuwa umejichokea kiaina hivyo mikao utakayohitaji kufanya mapenzi ni ile ya ku-relax zaidi kama "spoony".

Ambapo baada ya kuandaliwa unalalia ubavu (natumaini ndivyo unavyolala kutokana na ukubwa wa tumbo) kisha yeye mpenzi wako analala kwa nyuma,kisha wewe unapanua mguu ili aweze kuingiza uume kisha rudisha mguu juu ya mguu mwingine (kama ulivyokuwa) na yeye anaendelea kukufanya taratibu mpaka wote mtakaporidhika au maliza haja zenu.

Vilevile mnaweza mkafanya kifo cha mende wewe ukiwa juu (kama umekaa vile) na hakikisha anakupeleka taratibu ikiwa huwezi ku-ride au kifo cha mende wewe juu lakini mpe mgongo (inaitwa doggie lakini sio hatari kama ile ya kuinama/bong'oa) nautazame miguu yake.

Kamwe usifanye mikao au mitindo mingine kama "doggie" zaidi ya hii mitatu.

Ngono baada ya kujifungua

Jinsi ya Kungonoana kwenye Ujauzito

Pesa anazo lakini hanihusishi

Pesa anazo lakini hanihusishi

Pesa kwenye mahusiano ya kimapenzi


"Mimi ni mwanamke wa 25 nimeolewa miaka 3 iliyopita kwa sasa ni mjamzito hivyo niliacha kwenda kazini tangu mimba hii ilipoingia kutokana na matatito ya kiafya. Mume wangu ana nafasi nzuri kazini na kipato chake kinakidhi mahitaji ya familia yetu.


Baada ya matumizi muhimu kwa kawaida najua anabakisha kama laki 5 kila mwezi lakini hakuwahi kunijulisha kama ana pesa hizo au ana plan gani na mabaki hayo ya pesa, nikimuuliza anasema hana pesa.


Wakati huo mimi kuwa baada ya mahitaji muhimu najua pesa fulani hubaki na sasa amefikisha million 5 lakini hataki kusema ukweli, Pesa hizo zipo kwenye account nami najua password yake lakini yeye hatambui hilo.
Je mtu wa design hii nimchukulie kama alivyo au nimweleze ukweli"


Jawabu: Asante kwa ushirikiano wako, inaonyesha wewe ni mmoja kati ya wanawake wachache ambae ulikuwa ukijituma ili kuchangia kipato ndani ya nyumba na ninachokiona hapa ni ile hali ya "kujishitukia" kwa vile hufanyi kazi unafikiri mume wako atakunyanyasa na bila kujijua unaamua kuomba pesa ambazo pengine wala huzihitaji....kama ulivyosema mwenyewe kuwa anakamilisha mahitaji yote muhimu.


Kitu kingine ninachokionahapa ni kuwa na hofu kuwa anaweza kuwa anazitumia pesa zinazobaki kwa ajili ya mambo mengine kama vile "kuwekeza" kwenye Ulevi na wanawake nje ya ndoa yane kwa vile tu wewe ni mjamzito (kutokana na matatizo ya kiafya ni wazi kuwa tendo la ndoa halipo vile inavyotakiwa kitu ambacho kinaongeza hofu).


Lakini kutokana na maelezo yako ni wazi kuwa pesa zote zinazobaki baada ya mahitaji muhimu anazitunza Benk, hazitumii kivingine. Kumbuka wewe ni mjamzito which means kuna "mtu" mwingine ataongezeka kwenye familia yenu ndogo na badala ya kuwa wawili mtakuwa watatu nahivyo basi majukumu yataongezeka na kwa mshahara wa mtu mmoja tu mtoto hatokuwa na maisha bore.


Sasa ili mtoto kuwa na maisha bora au angalau "comfortable" ni wazi kuwa kuna ulazima wa ninyi kama wazazi kujiandaa na jukumu hilo jipya. Si hivyo tu bali kuna matukio ambayo hujitokeza bila mipango kama sehemu ya maisha yetu yanaitwa "udhuru" ni wazi kwa akiba inahitajika incase kitu kama hicho kinaibuka.


Sote tunapokuwa na mipango fulani na pesa tunazotunza ili kukamilisha jambo fulani alafu mtu akaibuka na kukuomba seti au kukuazima ni wazi kuwa utamwambia kuwa huna pesa....sio huna kabisaaa bali ulizonazo zinamipango yake muhimu na hutaki kuzigusa unless upate "udhuru" kama kuuguliwa, msiba n.k.


Umchukuliaje?-Since unalo neno/namba ya siri ya Benki Akaunti basi mchukulie kuwa ni mmoja kati ya mwanaume wachache wanaojua majukumu yao, anangalia mbele na sio pale mlipo (kuvaa miwani ya mbao) pia ni muaminifu na ndio maana akakupa neno/namba ya siri ya account (natumai hukuitafuta mwenyewe balia likupa baada ya kuomba).....vinginevyo mume wako anajaribu kufanya mambo yake kama mwanaume na wewe unapaswa kumuamini.


Nini cha kufanya-Hakuna ukweli wa kumuambia hapo kwasababu moja, Pesa ni zake, Pili hazitumii bali ziko pale zimetulia, tatu wewe unataka pesa za nini wakati kila kitu unatimiziwa ndani ya nyumba?


Kama unawasiwasi sana na wewe ni mwanamke kamilifu na mke hivi sasa ni lazima ulifunzwa namna ya kupata unachotaka kutoka kwa mume wako kwa kutumia lugha ya kimapenzi (siwezi kusema hapa kwani kaka zangu wakijua hatutopata kitu), sasa tumia mbinu hiyo kwa mume wako na hakika atakueleza mipango yake kuhusu pesa hizo (akiba) na hapo utapata amani moyoni mwako.

Acha kujishitukia kwa vile umeacha kazi, jiamini hali itakayokusaidia kumuamini mume wako.
Kila la kheri.

Sipendi Ndevu Zake

Sipendi Ndevu Zake

Usafi na Ngono

Jinsi ya Kusaidia Mmeo ktk Ngono

Ngono ni sanaa


"Mimi nilitaka kukuuliza hivi ndevu zina raha gani? Ni mama kijana wa miaka 27 nipo kwenye ndoa kwa miaka 6 sasa hivi na watoto watatu na mwengine yupo njiani. Mume wangu ananifugia mindevu kitu ambacho nakichukia.


Nimeshamuambia vya kutosha aliniambia hana mda wa kushave, niliamua kumtafutia mashine awe anashave mwenyewe angalau apendeze kama wanaume wenziwe, yaani bado pia hajamua kufanya hivyo.

Alafu haziweki kiusafi, hicho ndio kinaniuma hasa, mbaya zaidi hunyoa para anabakisha mi ndevu some time hutamani nipige kelele naona raha nnapowaona rafiki zake wamependeza roho inaniuma sana.


Inapokuja kwenye masuala ya sex hio ndio inanitia kinyaa, kwa sababu kwanza hupenda kwenda chumvini basi akitoka hapo yale mandevu yanavotisha then hutaka kunikiss na mimi, mwili wote hunisisimka kama angekuwa hana hiyo midevu mimi simind najua mapenzi ni kila kitu lakini ile midevu inavyokua wet then hunipaka paka nayo akiwa ananikiss mwilini roho inaniuma sana si enjoy hata kidogo.


Au akilala kama nitamuamsha kwa bahati mbaya basi utakuta imejaa midenda tena hii tabia anayo mda mrefu sasa, he doesnt care about me, hajali kwamba nini napenda kuhusu yeye anachojali ni yeye mwenyewe kitu kinachomueka yeye happy kwake nafanya, wewe ukipenda usipende yeye hana mpango huo wa kujali.


Hicho ndio kinaniudhi, yeye aliniambia vitu vingi ambavyo hapendelei mimi niwe navyo kwa vile nampenda vingi niliachana navyo kwani sikupenda kumuudhi lakini kwa upande wake yeye ninachomuambia hatekelezi nimechoka kwa kweli.


Mume wangu nampenda sijui cha kufanya ili nae awe smart kama wenzie, nimejaribu kupuuzia mambo mengi na kumuacha kama alivyo afanye anavyotaka labda atachange naona ndio anazidi naombeni ushauri wanu hivi ndevu zina raha gani na nifanyeje ili nizizoee. Mwanaume na nampenda ila hiyo ndio karaha yake."

Jawabu:Asante , unajua umenifanya nicheke(samahani). Sina uhakika nini hasa faida ya ndevu kwa wanaume, ila natambua kuwa kuna baadhi ya wanawake wanapenda wanaume wenye madevu ili kupata ule mkwaruzo wanapowabusu au kuwachezea-chezea wapaokuwa wakekaa mahali wametulizana.....kama ambavyo baadhi hupenda kuchezea nywele za kifuani, kichwani, sirini au kwapani.


Kule kwetu tunafundishwa mambo mengi ambayo yakifanywa na kuwa kawaida inakuwa rahisi kugundua kuwa mumeo anapoteza "interest" kwako kutokana nakujisahau kwako hali inayoweza kusababisha yeye kutafuta akikosacho nje.


Na njia kuu mbili za kutambua hilo ni mabadiliko ya uvaaji na anavyojiweka( kwa sababu ni kazi yako, ikibadilika utajua kuna walakini), vilevile kupenda kula "kwa watu" na sio chakula chako(ni wajibu wako kujifunza mapishi mengi tofauti na kutoruhusu mumeo ale kwa watu).....hii ikitokea kwenye ndoa basi unatakiwa kuchukua hatua madhubuti na za haraka kurekebisha makosa.


Pia tunaambiwa kuwa, mume wako anapokuwa mataani na wewe unakuwa pembeni yake (hata kama haupo), kama sio smart lawama ni kwa mkewe kwamba hamjali mumewe.....mumeo nahitaji muongozo wako na ushirikiano wako ili kuwa vile unavyotaka ili aendelee kukuvutia.


Unadai akitoka chumvini na ile midevu anatisha inamaana akitoka huko anatoka na Utoko?? otherwise hawezi kutisha kwani ule ute hauna rangi na actually hauonekani hata ukiwa kwenye ndevu ni kama maji tu, linapokuja suala la kukubusu baada ya kutoka huko nitakuelewa kwa vile kutakuwa na unyevunyevu kwenye ndevu zake lakini zaidi ya hapo hakuna cha kutia kinyaa ukizingatia uke ni wako na huna budi kuupenda(acha kujishusha Binti mzuri wewe).


Umeeleza kuwa, ulimuambia vya kutosha kuhusiana na kunyoa ndevu zake kwa vile hazikufurahishi na yeye akakujibu kuwa hana muda.....that's a real man right there! Mwanaume kamili huwa hazunguuki ili kukuambia ukweli au anataka nini? anasema moja kwa moja tofauti na wanawake wanasema hiki wakati wanamaanisha kile.


Mumeo amekuambia moja kwa moja kwamba tafuta muda na umnyoe na sio kwenda mununulia mashine ili ajinyoe kama ulivyodhania. Pamoja na kuwa mashine itarahisisha kitendo na kuwa cha haraka bado suala la kutokuwa na muda liko pale pale.


Kutokana na maelezo yako sidhani kuwa mumeo anapenda kuwa na madevu, hivyo basi ukitafuta muda na ukawa unamnyoa au kupunguza kiasi kile unachopenda Mf:-Kila Jumapili, kumsaidia kuziweka vema kila asubuhi mara baada ya kutoka kuoga/koga, kama ni kipilipili kuna "cream" za kuzinyoosha kimtindo unaweza kutumia (usiwaona akina Will Smith ndevu zao zinavutia ukadhani walizaliwa hivyo....ni mapoudaa I mean creams za kiume za kunyoosha nywele) ili kuhakikisha kuwa wakati wote anaonekana smart the way you like him to be.


Kumbuka kuwa wewe ndio mkewe na yeye kukuvutia ni muhimu hivyo make an effort na msaidie sio kunyoa tu, hata kumnunulia/chagulia mavazi mazuri na ya kisasa ili apendeze, natambua kuna baadhi ya wanawake wanaogopa kuwapendezesha waume zao wakihofia watavutia wanawake wengine nje....hey kama mume wako anavutia watu wengine kutokana na juhudi zako wewe mkewe ni jambo la kujivunia sana.

Hali kadhalika kwa wanaume...kama mkweo unamtunza vema mkeo, umamruhusu kutilia viwalo fulani vya kuvutia na anavutia wanaume wenzako unapaswa kujivunia kuwa una a "hot wife" na kujipa 5 kwa kazi nzuri.

Ombi lake la T-O laweza kuua uchumba wetu

Ombi lake la T-O laweza kuua uchumba wetu

Ngono kinyume na maumbile

Uwazi katika ngono

"
Mimi nina mchumba wangu ambaye natarajia kufunga ndoa naye hivi karibuni. Tumekuwa katika uchumba kwa miaka miwili hivi, na sasa tuko karibu ukingoni mwa safari yetu ya uchumba na kuingia katika ndoa.

Tatizo likakuja pale huyu mwenzangu tunapokuwa kwenye ile raha ya kurushana(kutombana) huwa tunafurahiana sana, lakini huyu mwenzangu amekuwa akinisumbua sana na jambo moja ambalo limekuwa kero sana masikioni mwangu na kuniletea kinyaa.

Kwa mara ya kwanza tulipokuwa tunatombana na mchezo umenoga, nilisikia mwenzangu akisema tafadhali naomba unitombe kinyume na maumbile, Yaani kwenye mkundu eti nasikia ni kutamu sana na kwenyewe tujaribu. Mimi nilimkatalia na kumwambia siwezi kufanya kitu cha namna hiyo.Na nilimwambia tena naona kinyaa kabisa hata kusikia hivyo.Akanielewa yakaisha.


Safari ya pili baada ya kupita muda kiasi tukiwa katika mchezo huohuo akawa kanogewa mno tena akaniomba akisema naomba tujaribu tu kwani hatutakuwa tunafanya hivyo kila wakati. Nikasema naomba sana unielewe kwamba huo mchezo nauchukia kama ugonjwa wa ukoma na pengine zaidi ya hapo. Akaomba radhi kuwa amekosa.


Mara ya tatu ambayo ni kama wiki moja limepita na ni miezi sita imepita tangu aliponiomba mara ya pili, nikashtukia tena ananibapa kwa upole, na kwa utaratibu tukiwa kwenye utamu huo, akaanza tena akisema lile jambo kama inawezekana kujaribu tu kwani amesikia mara nyingi kwamba ni kamchezo katamu, hebu tujaribu tu.

Mimi hapo niliona sasa huyu bila shaka amewahi kufanya kamchezo hako, ikabidi nimuulize nani alimwabia au je, uliwahi kufanya?Akasema huwa anasikia tu katika story hasa akiwa chuoni na katika mazungumzo ya kawaida.

Pia alisema yeye hajawahi kufanya, ingawa aliwahi kufanya ngono na mtu mwingine kabla ya kukutana na mimi lakini kwa njia ya kawaida. Ila yeye amesoma digrii yake nchini Marekani sijui huko ndo kapata hizo story au vipi. Basi mimi nilimkatalia nikamwambia muonja sukari huvyonza yote maana yake huo utakuwa mchezo wako wa kila siku na usipoupata hapa ndani utautafuta nje. Na nikasema nachukia mno kusikia kitendo hicho.Basi akaachia hapo.

Yeye anafanya kazi Morogoro na mimi nipo Dar.Huwa tunakutana kila wiki anaweza kuja kwangu au nikaenda kwake.

Tafadhali nisaidie ni namna gani nimasadieni huyu mchumba wangu ili jambo hilo limtoke mawazoni mwake na pia aweze kunielewa jinsi jambo hilo linavyonikera, hasa akiwa ni mama ninayemtegemea kujenga familia pamoja nami.

Maana nadhani atalirudia tena kulihitaji, na labda hapo inaweza kuwa mwisho wa uchumba maana jambo hilo linaniudhi kupita kiasi. Kwa kweli tunapendana na tena ni mdada mwenye sifa zote za umama na mwenye urafiki na upendo kwa watu wote, hasa ndugu zetu. Lakini hilo ombi lake jamani linanipa hasira mimi."

Jawabu: Asante sana kwa kuniandikia, Natambua kuwa sisi wanadamu huwa tunafanya zaidi yale mambo ambayo tunakatazwa au tunaambiwa ni mabaya, kutokana na Imani zetu za Dini kuzini ni kubaya au ni Dhambi lakini wangapi tunafanya ngono kabla ya ndoa?


Tunaambiwa kuwa ngono bila Condom inahatarisha maisha yako kwani unaweza kupata VVU, tunaona waliovipata na wanaindoka lakini wangapi wanatumia "ndomu" kila wanapofanya ngono? T-O ni mbaya na ina madhara makubwa sana kwa mwanamke ikiwa inafanywa mara kwa mara na kusababisha ulegevu kule nyuma, lakini watu wanatigoliwa kama hakuna uke vile.....!

Ngono inafanywa au niseme inafanyika ktk mikao na mitindo mingi tofauti, mitindo yote hiyo tulikuwa hatujui raha yake mpaka pale tunapojaribu na kugundua ala! kumbe hii inaongeza "stimu" au raha ya kufanya mnachokifanya.


Sio wakati wote mtu anapokuja na jambo nakuomba mjaribu au kufanya inamaana kuwa tayari kaisha lijaribu kabla......hapana! Kama ilivyo kwenye suala zima la kuanza kufanya ngono, unapoomba mpenzi akunyonye uume/uke au hata akubusu kwa mate (denda) haina maana kuwa huyo muombaji tayari alishawahi kuliwa denda hapo awali.


Huenda amesikia tu kuwa kuna raha au ni tamu na sasa anapenda kujaribu na mpenzi wake ampendae, mpenzi ambae anamuamini, anajisikia nae huru kufanya na kujaribu chochote, hii ndio faida ya kuwa muwazi kwenye uhusiano.


Binaadamu tunafurahi ngono kwa namna tofauti, kuna wale wanapenda kutukaniwa wazazi wao wakati wakifanya mapenzi, wapo wanaofurahia kuliliwa, wachache wanapenda kupigwa au kufinywa/kung'atwa (maumivu) huku wanafanya, wengine wanapenda kutumbukizwa dole wanapokaribia kileleni, baadhi wanapenda kunyonywa matiti wakati anatiwa, vilevile kuna wengine wanapenda kusikia neno "nakutomba au tunatombana", pia kuna baadhi wanapenda kuambiwa (ahidiwa) kupewa mwezi, nyumba n.k......ilimradi mtu anafanyiwa au anasikia kile kinachomfanya afurahie zaidi kufanya ngono.


Inawezekana kabisa Mchumba wako aliwahi kujaribu na mpenzi wake wa zamani na sasa angependa kujaribu na wewe au kama ilivyo kwa wanawake wengi Bongo, anadhani kukupa tako ndio tiketi ya wewe kutangaza ndoa (hasa kama bado hujafanya hivyo) vilevile huenda anataka kukupa tako ili usijeenda kutafuta nje, kwa maana nyingine anakuambia ukihitaji "she is up for it".


Sio kweli kuwa mwanamke aliyewahi kutigoliwa mara kadhaa "O" yake inakuwa kubwa (natumaini unalijua hilo kutokana na kuujua mwili wa mchumba wako, lazima uliwahi kumpa dole huko nyuma), mkundu hutanuka (kupeteza marinda/misuli) ikiwa mhusika anafanya kitendo hicho mara kwa mara na wanaume wenye "viungo" vikubwa hali kadhalika matumizi ya SanamuNgono.


Kutokana na maelezo yako (huwa anakuja na issue ya "O" mnapofanya mapenzi), kitu kinachoashiria kuwa huenda anapenda kulitamka hilo neno, sasa kwa vile hupendi wewe huwa unakataa, inawezekana kabisa kule kukataa kwako ndio kunamuongezea "stimu" ya kuendelea na safari.....huwezi kusema hupendi kabla hujajaribu na kujua kama utapenda au hutopenda.....sema hutaki, na ofcoz takwa lako linapaswa kuheshimiwa.


Nini cha kufanya-Zungumza nae na muambie ukweli kuhusu T-O na madhara yake kabla hajakumbushia, mueleze unavyojisikia kutokana na tendo lenyewe kuwa kinyume na maumbile na vilevile ni kinyume na Imani za Dini (kama unaamini Dini), mueleze heshima uliyonayo kwake kama mwanamke na kamwe usingependa kufanya kitendo hicho kwa vile wewe unahisi kuwa ni udhalilishaji wa mwanamke kwa vile yeye mchumba wako ana Uke na unaupenda uke wake.


Mhakikishie jinsi gani unampenda yeye, namna gani unaupenda uke wake na kwamwe usingependa kufanya ngono kinyume na maumbile kwa vile ni kinyume na Imani yako ya Dini(kama unaamini) na unadhani ni kitendo cha kumdhalilisha mwanamke kwani tayari yeye (mchumba wako) ameumbwa na uke na unaupenda na kuridhika na uke wake huo.


Mwambie Mchumba wako kuwa ungependa na uko tayari kujifunza mbinu nyingine za kuridhishana kimapenzi na ungependa ushirikiano wake (hakikisha unamfanyia vitu vingine kama vile kumnyonya kisimi/uke, cheza na mwili wake kwa ustadi wa hali ya juu......nasikia sehemu kubwa ya wanaume wa Kiafrika hapa huwa ni mbinde...sijui ni uvivu au kutojali?)


Mchumba wako kama muelevu atatambua kuwa uko makini kuwa hutaki kufanya wala kujaribu kitendo hicho, hivyo kama ni "mke mwema" ataheshimu hilo na kuanzia siku hiyo hatokuomba tena umfanye matakoni, vingivenyo (akiendelea kuibuka na hoja yake ya T-O) basi muambie wazi na kwa mara ya mwisho kuwa kama kuingiziwa uume mkunduni ni muhimu sana kwake na anajua wewe hutaki na kamwe hutofanya hicho kitendo basi ni vema kila mtu achukue ustaarabu wake.

Nenda taratibu lakini changamka katika mapenzi

Nenda taratibu lakini changamka katika mapenzi!


Mara nyingi wanawake huwa anapenda au kutaka kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na kila kitu kiende sawia kabisa bila matatizo, hii ni kutokana na sababu nyingi tofauti kama vile

-kuwa mpweke kwa muda mrefu,
-kuwa na "foleni"ndefu ya mahusiano mafupi na sasa anahisi kuwa wakati umefika wa kukaa na kutulia na mtu mmoja,
-uoga wa kuachwa/kuumizwa,
-kuhisi ameachwa(left out) kwa vile rafiki zake wana wapenzi,
-kuhisi umri umekwenda n.k.


Haijalishi una uzoefu mbaya au mzuri ktk mahusiano ya kimapenzi…unachotakiwa kufanya ni kutuliza akili na kucheza taratibu. Ukichukulia mambo taratibu itakusaidia sana kujua hisia zako juu ya mwenzio na pia kumjua/fahamu huyo mpenzi kabla mambo hayajawa “makini” hali itakayokusaidia kutoumia sana ikiwa atagundua kuwa humfai au wewe kutambua kuwa hayuko vile ulivyotegemea n.k.


Vilevile kwenda kwako taratibu kutamfanya huyo “mpenzi mpya” kuwa “comfortable” na wewe, kwa vile hautokuwa mtu wa kulazimisha mambo yatokee vile unavyotaka……..wanaume wengi hawapendi kuwa “pushed” kwa vile uhisi hawapendwi bali unapenda kufanikisha jambo fulani kama ktk maisha yako na sio kwenye maisha yenu “as a couple”.


Kumbuka kuwa wanaume hutumia uongo mwingi ili “washinde” na wakupate, hivyo kuwa mwangalifu najifunze “kuchuja” maneno/mistari yao wanapokushawishi/tongoza uwe nao, mara nyingi hutoa ahadi nyingi ambazo hu-“sound” kama wanaji-“commit” kwako kabla hata hujawajua vema.


Wewe kama mwanamke unatakiwa kuwa makini, msikivu, mwelevu na mwepesi kuhoji ikiwa utahisi unayoambiwa ni “too much….too soon”, sio macho chini na kila kitu….Ok, haya, sawa, ai wewe……ndio…..wasema kweli mjuba…..n.k.……changamka!


Kumbuka kitakacho kufanya umdondokee mtu kimapenzi kabla hata ya kungonoana sio muonekano wake tu (au pesa kwa wengine wazembe-wazembe) bali kumjua kiundani baada ya kuzungumza nae……unapomhoji mwenzio ni rahisi kujua uta-offer nini kwenye uhisiano ili uwe bora na yeye atachangia vipi ili mtoke “pea” nzuri na ya muda mrefu.


Maelezo yake kutokana na maswali yako yatakuwezesha wewe utafakari na kufanya uamuzi wa busara hali kadhalika maswali yako yatamfanya yeye afikiri zaidi ikiwa ni myeyushaji/muongo lakini “anakutaka” basi anaweza kubadili yote aliyosema/ahidi jana kwani kagundua kuwa wewe sio wa kudanganyika…..na akiendelea hamtofika mbali….hii yote nitakuwa imetokana na kuchangamka kwako kwenye kuhoji pale ulipohisi jamaa natoa ahadi kamavile ninyi ni “couple” tayari kumbe ndio kwanza mna-date.


Kumbuka mtu anapoku-“date” haina maana kuwa mko kwenye uhusiano na mara nyingi hushauriwi kufanya ngono ktk kipindi hicho……”date” inaweza kuchukua siku tatu mpaka miezi 4 kabla hujajitolea mwili wako.

penzi ni nini hasa

Misingi ya Uhusiano wa Kimapenzi

Ni Vigumu kwa Mke Wangu Kufika Kilele

Ni Vigumu kwa Mke Wangu Kufika Kilele

Mwanamke na kufika kileleni

Kutongonolewa vema

Ukamilifu wa mwanamke katika Ngono

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

Jinsi ya Kufurahisha mwanamke Katika Ngono

Ngono ni sanaa


"Sasa basi nianze kwa suala langu la msingi ambalo nalileta hapa kwa ajili ya kuomba msaada wa ushauri. Mimi ni kijana wa miaka takribani 30 hivi na niko katika ndoa na mke wangu mwenye miaka 27 kwa mwaka wa pili sasa, ni miezi michache iliopita tumejaaliwa mtoto.


Sie hua na tabia ya kukutana kimwili kadri mmoja wetu anavyojiskia. Yaani namaanisha hatuna ratiba ya kua ni mara ngapi kwa wiki lazima tukutane, hivyo basi yaweza kutokea tukakutana mara 3 kwa wiki ama pia ipite mwezi hatujakutana.


Kitu ambacho nimekihisi pengine ni cha kinyume kwa mke wangu ni kua wakati tukitiana ni ngumu sana kumfikisha kileleni yeye kwa njia ya kawaida. Hapa namaanisha naweza kwenda mimi yeye akawa bado. Pia nikipumzika na kwenda mara ya pili naweza fika yeye akawa bado.


Mimi nimejaaliwa kuchelewa kufika kiasi kua kama sina usongo sana naweza tumia dakika 10 kufika kwa bao la kwanza, la pili linachukua muda zaidi hivyo naamini namsugua vilivyo mke wangu na kwa kawaida pia hua namtayarisha /tunatayarishana kwa muda kabla hatujaanza majamboz.


Nimejaribu hata kua namchezea kisimi chake kabla mimi sijapanda ili arizike lakini hua pia inamchukua muda mrefu sana kwa yeye kupiz kwa kuchezewa tu. Huwezi amani mpaka kidole/mkono unachoka kwa shuhuli hiyo. Kwa muda sasa niliamua kufanya ivyo ili nihakikishe yeye kapizi na mimi ndo napanda napiga yangu.


Hili linanisumbua kidogo as sielewi kua atakuwa anamatatizo au ni ipi suluhu ya swala hili. Naomba ushauri wa kina ili tuweze kufurahia ndoa yetu."

Jawabu:Kuchelewa kwa dk10 haitoshi kumfanya mwanamke afike kileleni hata kilele via Kisimi inaweza kuchukua dk15 kwa baadhi ya wanawake, ningekubali kuwa umajaaliwa kuchelewa kama ungekuwa unakwenda kwa angalau dk45 baada ya lile bao la kwanza ambalo mara nyingi huwa linawahi sana.


Pamoja na kuwa mwanamke anamchango mkubwa zaidi ili kufika kileleni wewe mwanaume unapaswa kujua mbinu nyingine za kumfikisha Mf-kumchezea kisimi mpaka anafika lafu ndio na wewe unaingia na kumaliza ng'we yako vilevile ujifunze mbinu za kujizuia ili yeye mkeo afikie kule kunako utamu zaidi ya mara moja kwa mpigo.


Ili kufika kileleni baada ya kujifungua mwanamke anahitaji ushirikiano wako hasa linapokuja suala la kukabiliana na majukumu kama mzazi/mama(anahitaji muda mwingi wa kupumzika) pamoja na kusema hivyo pia anapaswa kujifunza upya namna ya kufurahia na kulipenda tendo hilo, kuwa tayari kiakili na kimwili na kujituma wakati mchezo unaendelea.

Mme Mchafu alafu anapenda Punyeto

Mme Mchafu alafu anapenda Punyeto


"Mimi ni mdada, mwenye miaka 30, pia nipo kwenye ndoa miaka 8. Kwa bahati mbaya nipo kwenye lile kundi wasiokuwa na watoto ila si tasa, nikiwa kwenye ndoa niliwahishika ujauzito ukafikisha miezi 8 ikaharibika na kufanyiwa upasuaji hadi leo hii sijabahatika tena.


Pia ingawa mume wangu yeye alishakuwa na watoto before hajanioa mimi namshukuru Mungu sipati manyanyaso yoyote ya suala la mtoto toka kwa mume wangu, daima anaamini siku mungu atashusha baraka zake.


Kama isemekavyo ndoa nyingi ndoana, kuna baadhi ya vidudu kwenye ndoa yangu vinanipa wakati mgumu sana, jamani msione wanandoa wanatoka nje ni wazi kuna kitu ndani, eeeehehe ile mada ya kusema "mume namtaka bf namtaka" ilinifurahisha, ingawa mimi bado sijafikia kutoka nje.

Tatizo la kwanza, ni mume wangu hupenda kupiga bomba sanaaa, yaani nyeto, mimi najiamini kwenye sita kwa sita naujua mchezo, nilipoanza kugundua hilo miaka mitano iliyopita. Kuna siku nikiwa sipo chumbani hujikamua mwenyewe, mara za kwanza nikawa mkali kwake nikimwambia ina maana mimi sikuridhishi?

Pia anapojua nina hasira naye huja juu kama moto wa kifuu. Any way si njia mbaya kujisaidia mwenyewe unapozidiwa ila tatizo linakuja pale mimi ninapotaka kutombana, jamani jogoo halisimami sawasawa nadhani ni kutokana alishapiga nyeto wakati nimetoka, sometimes anafanya kushikilia ndio aingize ila ni ngumu.


Tabia yake hii imeniathiri kwani huwa najiuliza sasa mtu wa hivi ukiwa na housegirl au ndugu wa kike kwenye nyumba je si anaweza kuwatomba kama umetoka?basi mimi housegirl si mwajiri, kwa sababu nina sevente coter ya mlinzi basi namlazimisha mlinzi awe na mkewe ili aweze nisaidia kazi za ndani pale ninaposhindwa, lakini nae kwa mashariti kuwa ukiona sijaamka marufuku kuingia kwangu, pia mpaka nikuite ndipo uje ufanye usafi.


Basi tabia yake hiyo inanifanya niumiee sana, na mimi ikafikia hatua najichua mwenyewe ila si enjoy sana kwani nahitaji denda, maromance, basi some time najiandaa mwenyewe kinyegenyege naandaa kitanda changu kwa mshambulizi nikijua leo kazi, basi mtoto wa kike natoa mapozi kitandani hata kama kuna baridi mimi najichanua nikijua namdip kumbe wapi!


Nimeshamueleza ten times bila kujirekebisha. Sometimes nimelala usiku mume wangu huamka kwenda computer kuangalia ma sex, na kujimaliza, nikitokea tu anashtuka anafunga program au hufungulia tv ya bedroom bila sauti anacheck kisha anaenda jimaliza.
Je jamani ndoa za namna hizi si vichochezo tu vya kusalitiana.


Tatizo la pili shost ni kuoga, mmh am so sorry kutoa siri za ma husband, yaani mimi ni mtoto wa Kitanga najua mapenzi, yaani yaweza pita siku 2 au 3 bila usafi wake wa mwili, na tuna warm shower muda wote, so sometime unajisikia kumshukia mume wako wakuta harufu za ajabu ajabu, sasa ukiwa pale unakula koni kidizaini jamaa anakukandamiza kichwa ili uende chini, yeye hajui kama nanyonya kwa pozi. Raha ya mapenzi usafi bwana hapo mtarambana mpendavyo, hata hili nimejaribu kumshauri bila mafanikio.


Lingine ndugu zanguni, mume wangu hataki mimi nijishughulishe na kazi yeyote ya kuniingizia kipato. Kila ukimwambia ooh mimi nina mshahara wa kututosha, pesa inatosha. Ila ukitaka labda ka' milioni ni for what, why, nalo hili limenichosha kuwa goli kipa tu. Samahani kwa mambo mengi ila naombeni ushauri, naogopa nikitoka kwa huyu nami uzazi wa matatizo, ni mwanaume gani tena atanivumilia."

Jawabu: Asante Dada,Kwenye maelezo yako umegusia suala la uchafu, huenda ndio sababu kuu ya yeye kujitenga au kukutenga kama sio wewe kumtenga na kumpa "mchezo" usioridhisha kwa vile huwezi kuvumilia harufu mbaya ya mwili wake.


Tatizo la kwanza; yeye kupenda kujipa mkono tena mbele yako ni kitu kizuri na ulipaswa kum-join badala ya kuwa mkali. Kujua kwako mchezo sio sababu tosha ya yeye kutojisaidia mwenyewe......huenda unaujua mchezo lakini humridhishi kwamba unayomfanyia yote hayamfikishi ila kumpa mkono.


Ni vema kuwa uligundua hili miaka mitano iliyopita, huenda aliibua au kurudia tabia yake pale ulipokuwa kwenye wakati mgumu baada yakupoteza mtoto (mimba), unapopoteza "mtoto" kwa kawaida wewe mwanamke unaweza kuathirika kisaikolojia na ukabadilika kabisa bila wewe mwenyewe kujigundua.


Inawezekana mume wako aligundua hilo lakini hakutaka kulalamika au ku-demand ngono kwa vile alikuwa anakuonea huruma...alikuwa more understanding kutokana na hali halisi uliyokuwa nayo na wakati mgumu uliokuwa nao na huenda yale mabadiliko wewe hukuyaona.


Kupenda kwake kujipa mkono hakuna uhusiano wowote na "umalaya" hivyo ondoa kabisa suala la yeye kutembea na msichana wa kazi au hata mwanamke mwingine yeyote nje ya uhusiano wenu. Huyu bwana anapenda na anahisi kuridhika zaidi akijipa mkono na si vinginevyo.


Hata kama ungekuwa wewe Mdogo wangu kama kuchezewa kisimi ndio kunakupa raha zaidi ya "full" ngono alafu mumeo hataki kukupa au hataki ufanye hivyo lazima utamwendea juu.....usicheze na utamu wa mtu aisee! Hakika mara baada ya kujipa mkono halika kusimamisha tena itamchukua muda kama sio siku (inategemea na jinsi gani alivyozoea na vipi ana-enjoy punyeto).


Kumuambia bila kuingiza vitendo na kubadilisha mfumo wako wa ufanyaji mapenzi na kumridhisha mumeo haisaidii, kitendo cha wewe ku-give up ndio kosa na ndio maana anaibukia kwenye "porn" ili kunyegeka kabla yajajipa mkono....


Tatizo la pili;Tatizo la watoto wa Kitanga mnapenda kuonjesha ili mwanaume atangaze ndoa au abaki na wewe milele (asikuache) baada ya Njemba kuotesha miziz mnabaki kujipa sifa za kumwaga kuwa mnajua mapenzi lakini mnasahau wajibu wenu kuwa mapenzi na mashamu-shamu huwa hayana mwisho na matokeo yake ndio hayo.....Mfano ulimzoesha kumuogesha, kumbeba, kumfukiza sijui mizizi gani, kumpala na kufanya nini sijui kitanga, zee la watu likazoea na matokea yako hata kujiswafi mwenyewe aona taabu.


Suala la msingi au niseme muhimu kwenye uhusiano wa kimapenzi sio "Utoto wa Tanga" au kuyajua mapenzi (unaweza ukadhani kuwa unajua mapenzi lakini kumbe kwake hujui kitu au humridhishi) bali ni kujua nini unaweza ku-offer kwenye uhusiano wenu. Ikiwa wewe mtoto wa Kitanga ulidhamilia ku-offer mapenzi ya Kitanga na ukaanza na "speed" hiyo mwanzo ulipaswa kutoipunguza no matter how mchovu you are!


Wanawake wengi huwa hawajui kuwa unapomzoesha mwanaume jambo mwanzoni kabisa mwa uhusiano huwa anategemea au anataka hayo yote yaendelee kuwepo kwa maisha yake yote atakayokuwa na wewe. Lakini kwa vile wengi huanza na ile "full speed" mara baada ya uhusiano kukomaa unajikuta umejichokea na matokeo yake mume/mpenzi anatafuta namna nyingine ya kupata masham-sham.


Ndio maana ukitaka kuwa na mume ambae atakuwa nakusaidia vijishughuli ndani ya nyumba unapaswa kumzoesha tangu awali kabisa mnapoanza uhusino(kabla ya ndoa).


Mf-Unapokwenda jikoni kupika, muite mpenzio na umwambie kuwa unapenda kampani yake au hata kuongea nae wakati unaendelea na kupika, kuwa kwake pale kutamfanya yeye kushika kisu na kukata kitunguu au hata kuweka vyombo kabatini kama sio kukupa chumvi n.k


Lakini ikiwa kila unapofanya shughuli unamuacha anatazama TV au anachat kwenye PC ndugu yangu mkija funga ndoa utaiona nyumba chungu, hasa kama wewe ni mwanamke unaefanya kazi.


Tatizo lingine; Kama nilivyosema hapo awali, mumeo kazoea "utanga" na huenda alikuoa akijua hutokuwa mtoka nje ili watu wengine wakuone. Wanawake wa Kitanga nasikia ni watu wa kujipara na kukaa ndani kumsubiri bwana arejee ili umpe mapenzi ya Kitanga....sasa leo hii ukurupuke kwenda kufanya kazi ndugu yangu si wataka Talaka weye!


Yote kwa yote, Mumeo anahitaji serious talk na wewe, kaa nae chini na zungumza nae, lazima kule Tanga wakati unafundishwa namna ya kumfurahisha pia ulifundishwa namna ya kumpenda kwa hali yeyote, namna ya kuzungumza nae kwa mapenzi ili kuwakilisha hoja yako, namna ya kumshawishi na kuikubali hoja yako, namna ya kumfanya afanye yale utakao wewe (kukushirikisha anapojipa mkono, kuacha kukimbia kitandani na kwenda kwenye Porn, kuwa msafi) na si vinginevyo......that is what we call "kujua mapenzi".....kuyajua mapenzi is more than ufikiriavyo Mdogo wangu.


Rudi nyuma, kumbuka ulivyofundwa na kila kitu kitakuwa safii na utafurahia maisha yako ya kimapenzi, ngono na mumeo.

Usafi na Ngono


Kupiga Nyeto kwa Wanawake

Punyeto

Uwazi katika ngono

Naogopa Kungonoka baada ya kuzaa

Naogopa Kungonoka baada ya kuzaa

Ngono baada ya kujifungua

Jinsi ya Kungonoana kwenye Ujauzito


"Tatizo langu la kwanza ni kuhusu kuongezeka kwa mwili na nikijaribu kila njia ya kupunguza mwili lakini imeshindikana nisaidie dada nateseka maana hata umbo langu namba nane wanavyosema wabongo limeanza kupotea.Samahani kwa kujisifu kidogo maana sifa jipe mwenyewe ukisubiri kusifiwa hautompata hata mmoja siku hizi.


Pili mimi ni mama mwenye mtoto wa umri wa miezi sita tatizo langu siku hizi naogopa sana kufanya ngono na baba yake maana naogopa kunasa mimba na kumuharibu mtoto, lakini hamu nakuwa nayo mpaka inafikia wakati nafanya. Sasa naomba nisaidie njia nzuri ya kupanga uzazi maana nimesha ambiwa vidonge nilijaribu lakini vimenisababishia aleji na sasa sishiki vitu vya baridi nimeacha hivyo sina njia nyingine nimeambiwa kuna za kienyeji sijui hata moja nisaidie napata shida."

Jawabu-Asante ,Kuongezeka mwili baada ya kujifungua ni kawaida kwa baadhi ya wanawake na kupungua kwake sio ngumu sana japokuwa unahitaji kujituma kufanya mazoezi na kuangalia lishe yako (diet).


Kama ulivyosema wewe unaumbile la nambari nane ni wazi kuwa unanenepa zaidi makalio, mapaja na sehemu ya juu inaongezeka kidogo tu ili ku-balance umbile si ndio? Ukifanya "diet" ya kujinyima chakula au kuruka baadhi ya virutubisho unaweza kabisa kupungua mwili kwa kipindi kifupi sana lakini njia hiyo sio nzuri na inaweza kukusababishia matatizo ya kiafya hapo baadae na vilevile kubaki na minyama uzembe.


Njia nzuri ni kufanya mazoezi mepesi ili kupunguza uzito alafu kufanyia kazi/mazoezi maeneo ambayo wewe unadhani yamezidi unene na ungependa yapungue.....mfano tumbo, mapaja na mikono...hata kama una umbile la namba nane tumbo likiongezeka tu basi ule mkato wa kuifanya nane ionekane unapotea, pia unene/ukubwa wa mikono utakufanya uvae nguo kubwa ambazo ni wazi kuwa zitaziba/poteza umbile lako sehemu ya kifuani na tumboni, mapaja yakinenepa ni wazi yatakuwa yakisuguana na ili kuepuka hilo itakupasa uvalie nguo kubwa ili zisijisugue juu ya ngozi yako.


Lakini kama unene wako ni sehemu ya "side effects" za madawa ya kuzuia mimba ambayo umekili kuwa uliwhai kutumia kupungua unene inaweza kuwa mbinde kidogo, lakini kama unene wako ni kutokana na kujifungua/zaa basi hakuna matata ukijituma na kuwa na nia moja basi utafanikiwa.


Kwa kuanzia basi hakikisha unakula ili kutosheka na sio kushiba, ukihisi kutosheka basi acha kula hata kama chakula ni kitamu kuliko. Kula kwa wakati Mf-Kila baada ya masaa manne na hakikisha huli Chakula cha wanga masaa mawili kabla hujaenda kulala(kula mapema chakula cha jioni/usiku)......wekeza zaidi kwenye maji, matunda na mboga za majani kwenye kila mlo wako ili kuhakikisha unapata kishe kamili kila siku yenye virutubisho vyote muhimu.


Alafu sasa ndio unaweza ukaanza mazoezi ya kukimbia, kuruka kamba nakutembea mwendo mrefu....hii itakusaidia kupunguza mwili na baada ya hapo sasa ndio utapaswa kuwa unafanya mazoezi hayo ya kawaida ukichanganya na yale tunayaita "shape up" ambayo hufanywa kwa kulenga maeneo fulani tu....


Uzuri wa kupunguza uzito/unene kwa kufanya mazoezi ni kuwa, misuli yako inakuwa imara na kukaza, tofauti na kupunguza uzito kwa kujinyima chakula.


Njia za uzazi za kienyeji- Hata mimi sizijui za kienyeji, najua mbili za kiasili ambazo ndio natumia nazo ni tarehe na kumwaga nje bila kusahau ya kisasa ambayo ni Condoms(wakati wa siku za hatari).....mbili za kiasili sio asilimia mia moja kama yalivyo madawa, akitereza kidogo tu kitu na box.....utahitaji sana ushirikiano wa mumeo hapo.


Condom ni the best way ya kuzuia mimba na haina madhara, sasa zipo bidhaa mpya ambazo hazisababishi madhara yeyote kwa watumiaji ambao awali walikuwa wakidhurika na bidhaa za mipira.....watembelee Dulex wanabidhaa bomba sana wale, tena kuna ndom nyingine zinaongeza utamu wa tendo na wala hatohisi kama kavaa kitu na huenda akapenda kuzitumia kuliko kufanya nyama 2 nyama.

Jiandae unapoelekea kwenye uhusiano

Jiandae unapoelekea kwenye uhusiano




Kuna swala la wanawake kudhani kuwa "ndio imetoka hiyo" yaani ndio milele, mara tu anapoanzisha uhusiano na mwanaume……..

na kwa bahati mbaya wengi huishia “disappointment” na kuwaita wanaume wa kibongo hawana mapenzi ya kweli…….sio hawana mapenzi ya kweli bali wewe ndio ulikuwa na haraka au nyote wawili mlikuwa na haraka na hamjui nini maana halisi ya neno “mapenzi”.


Siku hizi vijana tuna haraka sana ya kufanya mambo ambayo hufanywa kwenye committed relationships sasa sijui ni maendeleo au ni wanaume kutokuwa wazi pale wanapotaka kuwa na uhusiano fulani na mwanamke?


Napenda utambue kuwa kukutana na mwanaume/mwanamke na kuwa nae na kupeana miili yenu haina maana huyo ni uhusiano tayari, uhusiano hujengeka baada ya kutoka na huyo mtu kwa muda fulani minimum miezi kama 3 hivi au zaidi……

Hata kama alikujia na gia ya “nataka uwe mpenzi wangu”…..huwezi ukawa mpenzi ktk siku chache……unahitaji muda kuwa na uhakika na hisia zako.


Unajua zamani watu walipokuwa wakikutana, walikuwa hawakimbilii kungonoana, walikuwa wanaheshimiana na kama ni kukutana basi inakuwa mahali peupe kuepusha vishawishi vya kungonoana na hali hiyo iliwawezesha kuvuta muda na kuwa na uhakika na hisia zao kuwa kweli wanapendana.


Na ndio maana wakati huo walikuwa wakiamini (jua) kuwa mwanaume akikupenda kweli basi atavumilia na atakuja kuwaona wazazi na kufunga ndoa na wewe……ndio kungonoka kunafuata.


Tofauti na sasa ambapo tuna swala la ku-date ambapo penzi huibuka....…kisha tunahamia kwenye Trial (move in together and all) na kuangalia mambo yanavyokwenda….je mnapatana? mnaendana ki-life style, kingono mko sawa n.k.


Alafu ndio penzi la dhati hujengeka vema zaidi kwa vile utakuwa unamjua mwenzio kwa undani na hivyo kufanya uamuzi wa busara kama unaweza kumvumilia na kushi nae maisha yako yote au la.


Natambua kuwa kuna watu wengi (hasa wanawake) wanaendeleza imani kuwa kama mwanaume anakupenda kweli basi atakwenda kujitambulisha kwa wazazi wako na atafunga ndoa na wewe……..


Kutokana na nyakati hizi za mwisho I MEAN SAYANSI YA TEKINOLOJIA a.ka maisha ya kisasa ni wazi kuwa hawajui tofauti ya kupendwa na uamuzi wa kuishi na wewe maisha yake yote na matokeo yake ni disappointment.

Zingatia haya.....

Napenda kukwambia kuwa unapoanza uhusiano na mwanaume chukulia mambo taratibu na usikimbilie kufanya ngono kwani kufanya hivyo automatically kutakufanya udhani kuwa tayari uko kwenye uhusiano,


*Angalia mambo ambayo uta-offer ikiwa utakuwa kwenye uhusiano na sio kutegemea afanye hivi au vile

*Weka 50-50 na sio asilimia mia moja kuwa uhusiano utakuwa kama unavyotaka

*Usitegemee mambo makubwa yafanyike ndani ya uhusiano wako na badala yake acha yatokee yenyewe bila kulazimisha.

*Kuwa wazi na kuyazungumzia yale ambayo ungependa yafanyike ktk maisha yenu ya baadae lakini sio kwa kulazimisha au kununa ikiwa mwenzio anaonyesha kutovutiwa na mazungumzo hayo na badala yake wewe furahia kila siku kama inavyokujia……


* Kumbuka mapenzi ya kweli huchukua muda kujengeka na yakijengeka huwa hayabomoki……hata kama mtaamua kuachana baadae mahaba yataisha lakini penzi siku zote hubaki moyoni.

penzi ni nini hasa

Misingi ya Uhusiana wa Kimapenzi

Mapenzi na Technologia

Kupenda kwa vitendo

Yale yanayoweza kuharibu ndoa!

Monday, March 30, 2009

Hivi ni kweli kuwa akitereza basi hatoacha

Hivi ni kweli kuwa akitereza basi hatoacha?


"Naona kama ina ukweli mkubwa sana kwani mimi mme wangu amewahi kucheat na nikamkamata lakini alitubu. Sasa naona tena dalili. Na katika kusomasome nimekutana na hii.

If a guy cheats on you, He'll do it again. If you stay, he'll cheat even more No woman can make a guy stop cheating, not even his mother. Cheaters are like a small kid, once they tasted sweets, no matter what you do or say, they'll find a way to get hold of them. Stop looking for water in a desert, because you'll find none.


Advice: Leave the looser and find a real man who'll give you his all OR stay with the cheat and be a subscriber of Kleenex Tissues, cos you will be weeping till you get to your grave. He might even find a girl to replace you, cos he doesn't really need you, or he'll keep you to cook for him and do his laundry, while he gets his groove on.

YAANI, HAPA NAHISI KAMA MIMI VILE!"

Jawabu:Sehemu pekee yenye ukweli ni "no woman can make a guy stop cheating" hata kwa upande wa pili hakuna mwanaume anaeweza kumfanya mwanamke aache kutereza. Whoever wrote this ni feminist na ana hasira, machungu na chuki dhidi ya wanaume kitu ambacho wanaume pia wanaandika kuhusu wanawake.


Watu wa namna hii huwa rahisi sana ku-turn kuwa players 4 life au watu wa ngono bila uhusiano hawajiiti machangudoa lakini wako radhi kufanya ngono bila kuhusisha hisia, labda kwa vile hawalipwi ndio maana hawataki kuitwa CDs.

Hii ni kwa vile wanakuwa wamekata tamaa kama sio kuogopa kuumizwa tena na jinsia hiyo kwani wanachukulia kila mwanamke/mwanaume anatabia hiyo hivyo ni bora kuwa na mtu kama yeye.

Kama mwanaume hajakuoa au hamko kwenye uhusianoa ambao ni committed hata mimi nitakushauri uanze mbele ikiwa mpenzi wako atatereza, lakini hadithi iko tofauti kwa wachumba, mume/mke kwani mpaka mtu anatereza lazima kuna walakini kwenye uhusiano hivyo badala ya kumuacha mwenza wako ni bora kutafuta ukweli wa nini hasa kimepungua/kosekana kwenye uhusiano wenu mpaka achomoke??!!


Kufanya mikakati kwa kushirikiana na yeye kukubali kosa na wewe kuwa tayari kumsamehe na kusahau (japo inachukua muda mrefu), mwenza wako kugundua nini alikuwa anakunyima na yeye kurekebisha ni wazi kuwa itafanya uhusiano wenu kuwa mzuri, Imara na wenye afya kuliko hapo awali.


Sikutumi utereze ili kuboresha uhusiano, la hasha!
Ninachojaribu kusema ahapa ni kuwa mwenza wako akifanya kosa la kusaliti ndoa/penzi haina maana kuwa ndio basi tena.....siku zote kuna njia ya kufikia muafaka.


Kama wapenzi mkachukua tahadhali mapema, mkajuana vema, mkaafikiana kushurikiana kwenye kila kona na mkawa wazi na kufanyia kazi uhusiano wenu badala ya kuachia "tunapendana" peke yake.


Unajua uhusiano ni kama ajira yenu ya pili, usipokuwa na bidii au kutokuwa makini ni wazi kuwa kibarua kitaota majani na mmoja wenu kutoka kwenye uhusiano 4 good au kutereza. Hivyo basi mimi sikubalini kabisa kuwa mwanaume au hata mwanamke akitereza basi ndio anakuwa wa kutereza unless kama ni hulka yake.


Vinginevyo ikitokea hiyo na mnapendana basi pigania penzi lenu na kulifanya liwe lenye afya na bora zaidi ya mwanzo.....kuweka "rules" kwenye uhusiano pale mmoja anapokuwa mtivu wa nidhamu ni muhimu.......wakati mwingine watu wanakuwa kama watoto, wanahitaji muongozo kutoka kwa mama.

Usiamini ktk ufeminist tafadhali, ni hatari kwa afya yako ya kimapenzi na Ngono.

Mwanaume na Mwanamke, nani anamuhitaji mwenzie?

Ndoa na Kuzaa

Sababu za Kusaliti Pendo

Dalili kuwa mpenzi anatereza

Dalili za Uhusiano Unaoharibika

Yale yanayoweza kuharibu ndoa!

penzi ni nini hasa

Misingi ya Uhusiano wa Kimapenzi

Mume wangu Hanifikishi Kileleni....

Hanifikishi Kileleni....

Ngono ni sanaa

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Mwanamke na kufika kileleni

Kutongonolewa vema

Uwazi katika ngono

Ukamilifu wa mwanamke katika Ngono

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake


"Mimi ni mwanamke wa miaka 26 nina mpenzi ambaye tumependana sana na mungu akijaalia ndoa yetu itakuwa june mwaka huu.

Tatizo langu ni kwamba yaani ule muda wa majambozi sifiki kileleni kabisa yaani yeye style yake ya kunitomba ni ile ya up and down (simple harmonic motion) tena kwa nguvu toka mwanzo mpaka yeye anapokojoa sasa mimi sisikii raha yoyote ile.

Before yeye niliwahi kuwa na mpenzi ambaye alikuwa ananitomba kwa kukatika kiuno na nilikuwa nakojoa sana tu kila mara, sasa naomba mnisaidie jamani jinsi ya kumwambia namna ya kunitomba . asante"

Jawabu:Tatizo lako sio kubwa kwani unauzoefu na unajua kabisa ufanyaji gani ambao huwa au ulikuwa unakusababishia kilele. Suala muhimu hapo ni kuwa wazi nakumuambia mpenzi wako namna gani unataka akufanye na wewe kujituma.

Hivi siku ya kwanza inauma

Hivi siku ya kwanza inauma?


"Nina miaka 21, ila bado ni bikra. Niina mchumba na tunapendana sana na tumekuwa pamoja kwenye uhusiano kwa mwaka mmoja sasa. Ananitaka tufanye ngono lakini mimi huwa naogopa sio tu kwa vile bado naishi na wazazi wangu bali pia rafiki zangu wananiambia Siku ya kwanza unaumwa sana mpaka unashindwa kutembea. Hii ni kweli? "

Jawabu: Ni kweli kabisa kuwa Siku ya kwanza kuanza ngono au siku ya kuondoa Bikira huwa kuna maumivu ambayo hutofautiana kutegemeana na mwanamke mwenyewe na mtindo wa maisha aliyo/anayoendesha.


Vilevile maumivu hayo hayo yanaweza kuwa sivyo kama inavyosemekana kwani inategemea zaidi na ufanyaji wa mpenzi wako, mapenzi yake kwako, uvumilivu, hali ya kujali na uelevu wa hali ya juu.

Kitu muhimu cha kuzingatia Siku ya kwanza ni kuwa-relaxed, kufanya maandalizi ya kutosha (romance) nakufikiria zaidi mapenzi yako juu ya mpenzi wako, utakapokuwa unasikia maumivu basi mwambie mpenzi wako asiingie na badala yake abaki pale alipo.....yeye kama mwanaume (kama ni mzoefu) ataendela kukupa denda kukushika au kukunyonya chuchu ili kukusaidia kunyegeka zaidi na vilevile uwe-relaxed.

Lakini kama unahisi huwezi kuvumilia mwambie tu kuwa mjaribu siku nyingine kwani sio lazima "utandu" utolewe siku moja inaweza kutoka ndani ya siku tatu au wiki (nikiwa na maana uume kuingia wote ukeni).


Kutokana na maelezo yako inaonyesha kuwa Mpenzi wako ndio anataka kukungonoa (ni kawaida ya wanaume) hali inayokufanya na wewe ushawishike na kufuata mkondo, ili kuepuka kujilaumu ni vema basi kufanya maamuzi wewe mwenyewe, yaani amua kuwa sasa unadhani kuwa ni wakati muafaka wa kuanza kungonoka.

Inafurahisha kufahamu kuwa wewe na mpenzi wako mmechumbiana na ktk miezi michache mnakwenda kufunga ndoa. Ikiwa mpenzi wako na wewe mmeweza kuvumilia kwa muda wa mwaka mmoja ni wazi kuwa mnaweza kuvumilia zaidi mpaka mtakapofunga ndoa.

Mimi binafsi ningekushauri usubiri mpaka utakapofunga ndoa so long as mmechumbiana (kajitambulisha kwako na yuko tayari kukuoa) ili iwe "extra special" na vilevile kuepuka suala zimala kujilaumu ikiwa utaamua kufanya na "mchumba" alafu baada ya kumpa asikuoe.

Atatembea sana lakini at the end atarudi kwangu- Ukweli..

"Atatembea sana lakini at the end atarudi kwangu" Ukweli..


Mpenzi wako iwe ni mwanaume au mwanamke siku zote anakupa wakati mgumu lakini wewe unamvumilia, inafikia wakati anatoka nje ya ndoa/uhusiano wenu na kujakukuomba msamaha wewe unasamehe kwa vile tu labda unampenda, una watoto nae na usingependa watoto kumpoteza baba/mama yao au kwenda kulelewa na mtu mwingine ikiwa utamtaliki/acha mpenzio.

Umewahi kujiuliza kwa nini siku zote akikosa (wakati mwingine anakuacha kabisa) lakini baada ya muda anarudi kwako mbio akikulilia na kuomba misamaha yote kwa kuapia Miungu yote aijuayo na kukupa ahadi lukuki ili uendelee kuwa nae?

Mpenzi/mwenza mume/mke kama kweli anakupenda au nisema anakupenda kwa dhati na kukuthamini hawezi kwenda kulala nje na watu wengine na pengine kukuacha kabisa kisha ya kimshinda anarudi kwako na wewe kama juha unadhani huko ndio kupendwa, kwamba hapati "penzi" kama lako huko nje ndio mana kila wakati anarudi.

Ukweli ni kuwa mpenzi huyo anafanya hivyo kwa vile anajua wewe unampenda kwa dhati na huwezi kumuacha au kumkataa hata akuumize vipi, anahisi kuwa-secured (sio penzi) mikononi/ubavuni mwako...kumbuka usemi usemao "mpenzi akijua unampenda sana anakusumbua" hasa akiwa hana mapenzi na wewe bali yuko na wewe kwa sababu zake binafsi japokuwa alitumia au anatumia neno "nakupenda" n.k.


Sote tunatambua kuwa kuna wakati tunahitaji "mapumziko" kutoka kwenye mahusiano yetu ya kimapenzi /wenza wetu kutokana na uzito wa matatizo kikazi au kimaisha, kuna wakati mtu unahisi kwamba unataka kuwa mwenyewe bila kelele za watoto au maswali kutoka kwa mpenzi au hata "kupetiwa-petiwa" (hasa kwa wanaume pale mambo yao kiuchumi hayaendi vema).

Hili likitokea(ni tofauti ) haina maana kuwa hupendwi bali mwenzio yuko ktk wakati mgumu akifikiria jinsi ya kuilinda familia yake ikiwa ni pamoja na wewe mpenzi/mkewe na mara zote mwanaume huyo ambae anakupenda kwa dhati hatolala na mwanamke mwingine yeyote mpaka kipindi cha "mpito" kipite then atarudi kwako na kuomba radhi kwa kujiweka mbali na wewe na hata kwenda kwa kaka/rafiki yake kupumzisha akili na kupata maoni ya "kiuanaume" ambayo wewe mama huwezi kumpatia.

Hivyo wewe kama mwanamke ni vema ukaondoa hiyo kasumba au imani kuwa mumeo/mpenzi wako atatembea kote lakini lazima atarudi kwako, kwa yeye kufanya hivyo sio penzi juu yako bali penzi lako kwake ndio linamrudisha kwa vile anatambua wazi kuwa hakuna mtu atampenda kama unavyompenda wewe.

Kumbuka nia na madhumuni ya kusihi hapa Duniani kumtukuza Mungu na kufurahia maisha, hivyo ni vema kuwa kwenye uhusiano ambao nyote mnapendana na kuthaminiana, ukiona/hisi hupendwi ni vema kujitoa badala ya kuwa "unhappy na lonely in love".

unaweza kusoma tena

Sababu za Kusaliti Pendo

Dalili kuwa mpenzi anatereza

Dalili za Uhusiano Unaoharibika

Mwanaume na Mwanamke, nani anamuhitaji mwenzie?

Kupenda kwa vitendo

Misingi ya Uhusiana wa Kimapenzi

penzi ni nini hasa

Sunday, March 29, 2009

Ngono inazeesha

Ngono inazeesha!

Sote tunajua kuwa madhara makubwa ya kufanya ngono/mapenzi ni kuzaa bila kujiandaa na uwezekano mkubwa wa kupata magonjwa ya zinaa ikiwa ni pamoja na kubwa lao UKIMWI.

Mwanamke anaefanya ngono na wanaume tofauti huzeeka haraka kuliko yule anaefanya na mpenzi wake mmoja kwa wakati. Baadhi ya watu (wajinga-wajinga) hudai kuwa ngono humkuza mtu (wanajaribu kujipa moyo) ukweli ni kuwa ngono na watu tofauti inakuchakaza.

Haikuchakazi maumbile yako (uke) tu bali kila kitu "kinasoromoka" a.k.a kulegea na kupoteza u-firm wake. Unapotoka kwenye uhusiano jaribu kujipa muda a.k.a pumzika kabla hujajikita kwenye uhusiano mwingine.

Inasikitisha unapokutana na binti wa miaka 18 lakini anaonekana kama ana umri wa miaka 28-32......that's sad!

Kutomba haraka-Utalaam au Fujo

Kutomba haraka-Utalaam au Fujo

Kupiga nje-ndani a.k.a tako kwa nguvu na haraka-haraka na kubadili mikao kila baada ya dakika chache mpaka binti wa watu anaomba "msamaha" haikufanyi kuwa mtaalamu wa kufanya ngono bali ni mtaalamu wa fujo na kumchosha mwenzio......

Utaalamu wa kufanya ngono ni kujua kujizuia, utundu/ujuzi wa kutumia uume wako pale unapokuwa ndani.....unaruhusiwa kubadili "mirindimo" lakini kwa kujali na kwa upendo unless uambiwe tofauti na huyo umfanye kutokana na utamu/raha anayoipata.

Kumchosha mtu kutokana "haraka zako" ktk mzunguuko wa kwanza sio ujanja bali ni ubinafsi.......anatakiwa kuchoka kutokana na kufika kileleni hali ambayo huwa haimalizi bali kuongeza hamu ya kungonoka.

Uchovu wa mwili (aches) hujitokeza siku inayofuata na mara nyingi ni kutokana na kukaza misuli wakati unaita kilele au umefika mara nyingi.

Hizi zinafanana

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Jinsi ya Kukata Kiuno

Jinsi ya Kufurahisha mwanamke Katika Ngono

Chumvini-Kunyonya Kuma

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

Jinsi ya kunyonya uume

Ngono ni sanaa

Unapotengana na mpenzi

Unapotengana na mpenzi

Siku hizi watu tunaachana na wapenzi wetu sio kwa kwenda kufanya kazi mjini au kijiji cha pili bali nchi ya mbali...

Kutokana na maendeleo ya Tekinolojia na ukaribu wetu na familia tumekuwa "relaxed" pale wapenzi wetu wanapokwenda mbali nasi kwa muda mrefu ... Zamani mwanamke ukiolewa inakuwa wewe na mumeo tu sasa anapoaga kuwa nakwenda kijiji cha pili kikazi mke anakuwa ktk hali ya huzuni na kutafuta mbinu za kumshawishi mpenzi ama waende wote au asiende kabisa huko alikoagizwa.

Na hiyo huwa nafasi pakee kwa mwanamke kuonyesha kwa mpenzi wake huyo ni jinsi gani hawezi kuishi bila yeye, jinsi na kiasi gani anamhitaji mumewe na kwamba hatoweza kabisa ku-cope na upweke.

Wakati huo mwanamke alikuwa akionyesha "affection" kwa mume wake zaidi ya siku zote pale inapojuliakana lini hasa anapaswa kuondoka na siku chache kabla mpenzi hajaondoka mwanamke akipaswa kumshawishi mume/mpenzi kutokubali kusafiri au waende wote kwa kutishia kujiua (kupanda juu ya mti....sio mrefu sana na kujiachia uanguke), kulia kila siku, kususa kula nakadhalika, lakini yote hayo yakishindikana basi mwanaume anaahidi kufupisha safari yake ili awahi kurudi kuwa na mkewe/mpenzi wake.

Mume anapokuwa mbali (kasafiri) mwanamke anajitenga kwa kutokuoga mara kwa mara, kutojipamba/remba, kutokuvaa vizuri na vilevile kutotembea/toka nje bila sababu ya msingi, yote hayo ilikuwa ni mapenzi juu ya mume wake nakujaribu kuepuka kuvutia wanaume wengine na yeye mwenyewe kushawishika na ku-cheat.

Wakati huo wote mwanamke anakuwa anajifunza mbinu mbali-mbali za kumfurahisha mume/mpenzi wake au mazoezi ya jinsi ya kumpa raha mume atakaporudi, mazoezi hayo sio kukata kiuno ktk mtindo tofauti tu bali, kucheza mbele ya mume wake (strip dance sio Umagharibi ulianza miaka ya zamani ),mapishi, kuimba na wakati huohuo mwanamke hutumia muda wake kuomba Dua ili mume wake arudi salama.

Wanawake wa sasa hawajishughulishi sana kwasababu tofauti kama sio wengi wao hawajui au hawajaambiwa, vilevile ukaribu na familia na maendeleo ya Tekinolojia vinachangia kuwafanya wajisahau na kutokuwa wapweke kama zamani

Mpenzi hataki kunyonywa mboo

Mpenzi hataki kunyonywa mboo


"Mimi ni mwanamke ambae nimekuwa kwenye uhusiano kwa muda wa miezi tisa sasa, tangu tumekuwa pamoja nimegundua mpenzi wangu sio mtundu kama ambavyo wanaume wengine hivyo siku moja niliomba anishukie chumvini
na akafanya hivyo bila shida na tangu siku hiyo kila tukitaka kufanya mapenzi lazima anishukie.
Lakini cha kushangaza nikitaka kumshukia yeye anakataa, hasemi kuwa sitaki ila unaona tu anakwepa kwa kuanzisha kitu kingine ambacho kinanifanya nishindwe kumfikia kule chini "


Jibu-asante kwa swali lako , swala muhimu la kuzingatia ni kuheshimu matakwa yake na kutojisikia vibaya kwa vile hataki umpe mdomo (ajabu kweli wanaume wengi wanapenda kushukiwa lakini kushukia wake/wapenzi wao huo mbinde), huyu wako anahitaji pongezi kwa kujali hitaji lako na kukuridhisha.


Unajua baadhi ya wanaume pia huwa hawajiamini kimaumbile kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake, sote tunatambua kuwa swala la kupena midomo huko chini ni "intimate" sana hivyo mtu mpaka anakuruhusu kuweka mdomo au hata kuangalia tu anahitaji kuhakikishiwa kuwa sehemu yake
-inavutia,
-nzuri,
-safi,
-kubwa (hata kama ndogo sema tu kubwa au inakutosha au unaipenda kama ilivyo) mana'ke wanaume ni "insecure" linapokuja swala la uume.

Yaani akijihisi kuwa "mzigo" wake ni mdogo au aliambiwa na mpenzi wake wa awali kuwa "mboo" haifiki popote hata kama sio kweli still mwanaume huwa ana-mind na kupoteza kujiamini kwake.


Sababu ambazo zinaweza kumfanya ahofie kushukiwa

1.huenda hajiamini kuwa uume wake ni mkubwa wa kutoshwa kunyonywa

2.inawezekana kabisa ikawa anahofia kumwaga kabla hujafika popote (kwa wanaume wengi hili ni tukio la aibu sana),

3.labda anajua kuwa uume wake hauvutii kwa vile labda ana ngozi chafu, au makovu/mabaka kutokana na mapele (kumbuka kuna magonjwa ya ngozi na ya zinaa).


Swala muhimu na la kuzingatia ni kuzungumza kuhusiana na jinsi gani ungependa kuonja uume wake, onyesha kuwa unapenda kufanya hivyo zaidi kuliko kurudisha kile anachokufanyia (kulipa), hakikisha unazungumzia hilo wakati mmepumzika tu hamna mpango wa kwenda kungonoana na wakati unaongea jaribu kuweka mkono wako juu ya "mtuno" wa kaptura/suruali yake na kumpapasa.


Jambo lingine muhimu ni kujifunza kusifia maeneo yake hasa "kiungo" chake, njia rahisi ni kuoga pamoja ili iwe rahisi kwako kuuona uume wake, unaweza ukamkanda "full body" lakini kwa kuanzia mapajani akiwa kalala chali kwani akilala kifudi-fudi(lalia tumbo) itakuwa ngumu kwako kumkanda uume wake.


Ikishindikana basi usilazimishe kwani sio lazima, kila mtu anafurahia na kuridhika kivyake sio lazima umfanyie vile anakufanyia wewe.

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Chumvini-Kunyonya Kuma

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

Jinsi ya kunyonya uume

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni

Kupiga Punyeto. Kuna madhara

Kupiga Punyeto. Kuna madhara?


"Mimi ni kijana mwenye Umri wa Miaka 33 naishi nchi ya Tanzania, na rafiki yangu wa kike yupo Tanzania kwa muda wa miaka 2 sasa. Kwa muda wote nimekuwa nimeshinda sana nasitaki kuvunja uhusiano wangu na huyo rafiki yangu, sasa hivi karibuni baada ya kuona hali ngumu nikaamua kuanza kujichua au KupigaPunyeto, naomba ushauri wenu je tendo hili lina hathari gani baadae nitakapo kutanana na rafiki yangu. Natanguliza shukrani zangu kwa majibu mtakayo nipa"


Kupiga Nyeto kwa Wanawake

Punyeto

Mkao mzuri wakati umenuna,susa

Mkao mzuri wakati umenuna/susa

Raha ya wanaume ni kuto-mind vitu vidogo vidogo kama wanawake wakati mwingine mwanamke hununa/susa a.k.a kudeka kwa vile alipoingia hakukubusu au ulisema afanye kitu "indirect" na yeye hakuelewa ulikuwa unataka nini na hivyo kutofanya ulichotaka afanye.

Sasa raha ya wanaume ni kuwa hata unune vipi bado "atakuchokoza" tu....sasa pamoja na kununa kwako si vema ukaunyima mwili wako haki yake ...

Ukiwa umelala kifudi-dufi(lalia tumbo), yeye mpenzi ataanza kukuchokoza kwa kushika ku mgongo, makalioni, mapajani au kubusu shingoni n.k

Nyege zinaanza kukupanda (unajau ukiwa umenuna/susa nyege hupanda haraka..., sasa wakati mwili unaita basi mpe ishara mwenzio kuwa (kwa vile umenuna huitaji kusema neno wewe guna na kutoa mihemo yako ya kinyege ambayo huwezi kuizuia) alafu anza "kujimuvuzisha" taratibu.

1-Kunja magoti huku kichwa kikiwa kimetulia kitandani kama hali itakayofanya kiuno na makalio yako yainuke kwa juu kiasi, hapo jamaa lazima maruhani ya mpande zaidi kutokana na "muonekano" wa umbile lako na hivyo kuongeza mipapaso sehemu hiyo na hata kwenda kucheza na kisimi kwa kutumia vidole vyake.

2-Ukiwa tayari na "umenyevuka" vya kutosha basi jisogeze kwa nyuma zaidi ili ufikie pale kunako utamu (kwenye uume) kisha ruhusu kitu kiingie.

3-Uume ukiingia inua kiwiliwili chako yeye akiwa kwa nyuma hali itakayomfanya akushikilie sehemu ya tumbo au kucheza na matiti, kubusu shingo, masikio n.k. wakati huo wewe unajipeleka juu-chini taratibu.

4-Ukifika rudisha kiwiliwili chako chini lakini na ubaki kana nilivyoeleza awali na yeye atakushikilia kiuno na kukufanya ktk mtindo wa "doggie" mpaka amalize safari yake kisha unajilaza kama ulivyokuwa umelala (lalia tumbo) yeye akiwa juu na usingizi unawapitia.....mkiamka asubuhi sidhani kama kutakuwa na kununa kwani tule "tuhomono" twa hasira tunakuwa tumemalizwa.

Fanya hivi na mpenzi unaemuamini na sio mzito sana, mana'ke kulaliwa kwa juu sio mcheza......

Kidokezo:Inasemekana mwanamke asiepata kitombo kizuri mara kwa mara huwa bitter........kama umewahi kufanya kazi chini ya Boss mwanamke au unafanya kazi na wanawake ambao hawapati "ile mwili inataka" utanielewa nina maana gani....wengine wako humu, from nowhere unatukanwa 4 no reason....

Ngono ni sanaa

Kuchepuka kwa mwanaume

Kuchepuka kwa mwanaume!



Kuna sababu kibao kwa nini anachepuka nazo ni kupata "attention", Mapenzi, kubadili "play list" I mean kufanya mambo mapya ambayo anadhani hujui au ikiwa yeye anajua basi anahisi hutokubali kuijaribu na kuridhisha uanaume wake (biology )......Waingereza wanamsemo wao unaokwenda hivi "Men have strong biological urges to knock on the door of neighbouring huts"....hey I'm not asking you to go and knock on ppl's huts utapigwa mshale!

Kuna baadhi ya wanawake huwa wanajisifia kabisa na kujiamini kuwa "mume wangu anaweza kupitisha siku 5 bila kunisumbua kutaka ngono", na wengine wanakwambia hawapendi ngono kwa vile hawasikii utamu au hawapati raha yake na baadhi wanaifanya kila siku lakini inafanywa kama wajibu....kumbuka tu mwanaume (ambae ni open minded ) hafanyi kwa vile anataka kumaliza hamu zake bali anafanya ili kukuridhisha nakukufurahisha, hivyo anategemea mfanye tendo hilo kwa ushirikiano.

Mwanaume mwenyewe mpenzi/mke wake bila kuchoropoka basi ujue ama anaridhishwa kuliko au anapigana sana na hamu yake ya kungonoka nje ya uhusiano wenu kwa vile anakupenda kwa dhati.

Sasa wewe kama mpenzi/mke lazima utakuwa ukimjua mwenza wako kingono-ngono na hivyo kama yeye kitu muhimu kwenye uhusiano wenu ni ngono(sex) basi ni wajibu wako kumrudisha mpenzi wako kwenye mstari kwa kuipa kipaumbele ngono kuliko mambo mengine.


Sababu za Kusaliti Pendo

Dalili kuwa mpenzi anatereza

Dalili za Uhusiano Unaoharibika

Yale yanayoweza kuharibu ndoa!

Mke wangu akerwa na Kitumbo.....

Mke wangu akerwa na Kitumbo.....

"Nina ndoa yangu kwa miaka sita sasa tuna mtoto mmoja na tunategemea mwingine Mungu akijaalia mwaka huu. Baada ya uja uzito wa kwanza tumbo la mke wangu halikurudi katika hali ya mwanzo, yaani alikuwa na kitumbo kinamna fulani. Lilipungua lakini si katika hali ya mwanzo au tuseme ya kawaida.Tumejaribu kutafuta tight ya tumbo lakini haikusaidia, ingawa labda haikuwa nzuri sana.

Sasa tukafikiri na kuona labda kabla hajajifungua safari hii tujaribu kupata utaalamu wa jinsi gani tunaweza kupunguza na ikiwezekana kurudisha tumbo lake katika hali ya kawaida, maana hata yeye mwenyewe inamnyima raha kiaina. Sasa ni njia gani nzuri za kutumia zisizokuwa na madhara kwa afya? "


Jibu: Napata matumaini kuona kuwa wewe mwanaume unaungana na tatizo linalo mkera mkeo na kutafuta namna ya kumsaidia ili ajisikie anavutia tena baada ya kujifungua (wanawake wengi hujihisi kuwa hawavutii tena) kitu ambacho ni muhimu ili kumrudishia Mkeo kujiamini kwake akiwa mtupu hali itakayo pelekea ninyi wawili mfurahie miili yenu kwa uhuru zaidi.

Upangiliaji wa mlo (diet) na mazoezi kwa ruhusa ya Dakitari wake ni muhimu kutegemeana na alivyojifungua kwamba amejifungua kwa kawaida (asilia) au kwa upasuaji.

Pamoja na kuwa kufanya mazoezi kuna-sound rahisi mama wengi hushishwa kuyafanya kutokana na uchovu au kuwa na shughuli nyingi zinazohusiana na swala zima la kuwa mama.

Kabla hajaanza mazoezi ya kupunguza na kulikaza tumbo lake baada ya kujifungua atapaswa kulifunga (kiasili) na vilevile kujitahidi kupunguza unene ulioongezeka kutokana na ujauzito na anaweza kufanya hivyo kwa kufanya mazoezi ya kukimbia, kuruka kamba, kutembea haraka-haraka n.k alafu baada ya kupunguza unene ndio afanye mazoezi ya tumbo.

Ngono baada ya kujifungua

Jinsi ya Kungonoana kwenye Ujauzito

Unahamu lakini Kuma kavu.....

Unahamu lakini Kuma kavu.....

Ni wazi kuwa ktk mzunguuko wa hedhi kuna wakati uke unakuwa mkavu na hakuna kinachotoka (hata utoko huchukua muda kuteremka) kutokana na ute mzito (sio ule mlaini kama mrenda,udenda) vilevile ukiwa unajiswafi (kuondoa utoko) inachukua muda kwa vile "utoko" unakuwepo lakini kidole hakizunguuki as fast as u'd like au kama siku nyingine na hapo ndio mwanamke unajua kuwa siku zako ni salama (only kama uko asilia kwamba hujawahi na hutumii madawa yeyote ya kuzuia mimba).

Ktk kipindi hiki mwanamke unajikuta una hamu ya kufanya mapenzi(nyege) lakini hata mpenzi akuchezee vipi ule ute unaoashiria kuwa uko tayari hautoki wa kutosha na vilevile unaweza ukajisikia kuwa mwili wako uko tayari kuingiliwa/tiwa(ingiziwa mboo ukeni) lakini mpenzi akifanya hivyo inakuwa ngumu kuingia.

Sasa hali hiyo ikitokea haina maana una kasoro au mpenzi wako hajui kuwajibika la hasha....bali ni matokeo ya kisayansi ya mzunguuko wako wa hedhi kwambwa yai haliko tayari na matokeo yake ndio kutokupata unyevu au kunyevuka haraka unapo "ngegeshwa".

Hivyo ni vema kama ukatumia "vilainisho" vya asilia kama vile mate nikiwa na maana mpenzi wako alainishe Kuma kwa kuilamba (kuzamia) au wewe uunyonye uume (BJ) ktk mtindo wa "wet suck" na mate yenu yatasaidia uume kuingia bila "kwere" na hivyo kufurahia uumbaji wake Mola.

Ukitumia Mate kama "kilainisho" na kufanikisha uume kuingia basi baada ya muda utahisi ute umejitokeza huko ndani ya Kuma kutokana na utamu wa ile ndude na utafurahia kama siku nyingine.

Vilevile mnaweza kutumia "vilainisho" vya kitaalamu vilivyo na asili ya maji na sio mafuta kama vile Ky-jelly, vyenye asili ya mafuta vinaweza kukusababishia maambukizo ikiwa vitaingia ukeni (mafuta hubaki kwenye nguzo za uke na kuganda bila wewe kujua) Inashauriwa kutotumia mafuta kuingiza ukeni ili kuepuka kuzaliwa kwa wadudu na kusababisha maambukizo ukeni.



Usafi wa Matako na Uke

Jinsi ya kusafisha Uke wako

Kuma Yangu Inanuka

Mazoezi ya kukaza misuli ya Uke.

Kuma

Jinsi ya Kuanzisha Ngono

Jinsi ya Kuanzisha Ngono

...kwa mwanamke

Mimi nilikuwa napenda kuwauliza akina dada(wanawake kwa ujumla), mfano mume wako(hasa wale walioko kwenye ndoa) kaja kukutaka, na wewe hujisikii, kwa sababu zisizo za lazima.

Na mume wako ndio mambo yamekuwa mambo, na wewe mwenyewe unaona, utafanyaje ili muridhishane?Nazungumza hivi nikiwa na maana kuwa kuna ndoa nyingi zimeingia mtegoni/matatani kwa sababu ya hili, kwamba mwanaume au mwanamke hapati tendo hilo kila anapohitaji.


Tukirejea kwenye mistari tunaambiwa mke au mume ni mashamba yenu....msinyimane nk, sasa je hali hiyo ndio hivyo mnanyimana iweje?Nilisikia mwanamke mmoja akilalamika kuwa mume wake siku hizi akirudi nyumbani anaangalia ukutani/ anampa mkewe mgongo, sababu hasa haijui!


Anahitaji tendo, anahamu ya mapenzi na mumewe lakini mumewe anarudi hoi, sababu ya kazi ngumu, au ndio hajisikii, au ndio sijui kwanini(Na wanawake wengi hata wale waliopo kwenye ndoa hawajui kumtamkia mumewe kuwa ninahitaji tendo...au sio)!


Hali kadhalika wapo wanawake wengi wa namna hiyo, ambao hawapendi mara nyingi kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, na wakifanya wanafanya kama wamelazimishwa!`kila siku kila siku...aaah, mimi nimechoka...'

Sasa je hii inasababishwa na nini hasa? Hatuoni hii ndio inayochangia nyumba ndogo, na matokeo yake ni kuleteana magonjwa!Nimelielekeza hili swali kwa wanawake, je mume wako akikufanyia hivyo utafanyaje ili atimize wajibu wake?

Ndio hata kwa wanaume linawahusu, je na wanaume watafanyaje ili mwanamke atimize wajibu wake. Najua kwa wanaume wengi wanatafuta njia ya mkato-nyumba ndogo!Lakini nafikiri ipo njia njema na kama wengi tungekuwa tunafuatilia mafunzo tunayopata hapa tungefurahia mapenzi, lakini sidhani wote wanapita kwenye hii blog!

Soma tena

-Yale yanayoweza kuharibu ndoa!

-Misingi ya Uhusiana wa Kimapenzi

-penzi ni nini hasa

-Kupenda kwa vitendo

Friday, March 27, 2009

Usawa vs Kiburi

Usawa vs Kiburi

"After thousands of years of male dominance, we now stand at the beginning of the feminine era, when women will rise to their appropriate prominence, and the entire world will recognize the harmony between man and woman". The Rebbe.

Unakumbuka ule Mkutano wa wanawake kule Beijing au unatambua kwa nini wanawake wanaitwa "wabeijing"?

Swala la usawa baina ya wanawake na wanaume lilizua au linaendela kuzua utata kutokanana baadhi ya wanawake ku-abuse maana halisi au nia na madhumuni ya Usawa huo......na matokeo yake wanawake wamekuwa kama wanaume, wamejawa na viburi mbele za wapenzi/waume wao n.k. hii ni kutokana na kutoelewa kwa nini hasa wamama wale walikusanyana kule "Beijingi" kudai Usawa.

Ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anataka kuwa au kuoa "mwanaume mwenzie" kwa maana kwamba unatakiwa kubaki mwanamke no matter how much you earn, no matter how educated you are, no matter how tall you are.....having said that sina maana kuwa ndio uwe kila kitu "sawa/ndio bwana/mume wangu" type.


Usawa tunaotakiwa kuutolea macho ni ule wa kujitahidi ktk elimu, ufanyaji wa kazi kwa bidii (kupata cheo kutokana na uwezo wako sio kwa jinsia yako), kuchangia maendeleo ya familia zetu na maisha yetu kwa ujumla, kuongoza au kushika nyazifa mbali-mbali ambazo awali zilidhaniwa kuwa ni za kiume tu n.k.

Usawa sio


-kuwa mlevi kwa vile wanaume wanalewa,
-kuwa na wapenzi wengi kwa vile baadhi ya wanaume wanafanya hivyo,
-kutongoza kama wanavyotongoza wanaume kwa vile tu "tuko sawa",
-kula kiasi kikubwa cha chakula kwa vile tu wanaume wanakula kuliko sisi (hushangai kwa nini wanaume wanakula sana lakini hawana pot bellies eti?) na mambo mengine mengi ambayo wanaume wanayafanya kwa sababu zao binafsi kwa vile ni wanaume au kulinda ego zao.

Ukikutana na mwanaume ambae anapenda au vutiwa na "kiburi chako" ukidhani ndio usawa ujue huyo anakuchezea na hayuko moyoni mwake

Kwenda nje ya Ndoa/Uhusiano/ukware/Umalaya

Kwenda nje ya Ndoa/Uhusiano/ukware/Umalaya

Kwa maana ya haraka haraka ni mtu asiye na adabu/heshima, huruma, utu, muharibifu, mkatili, mlafi, mshamba na ni muuaji vilevile.

Tatizo hili limekithiri katika jamii yetu na sasa limekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya watu au kwa maana nyingine wamefanya kuwa ni utamaduni wa kisasa (kwenda na wakati).

Tabia hii mbaya huathiri kwa kiasi kikubwa baadhi ya familia hasa ikiwa muhusika yuko ndani ya ndoa na amefanikiwa kupata Watoto.

Tabia hii haiko ndani ya ndoa pekee bali hata katika mahusiano ya kawaida ya kimapenzi tofauti ni kuwa ndani ya ndoa akina Baba ndio wako mstari wa mbele na walio nje ya ndoa baadhi hulipiziana visasi.

Wanawake walio katika ndoa hujitahidi kuwa wavumilivu wakiamini kuwa ndoa ni uvumilivu. Hapana! ndoa ni kuvumiliana (wote wawili) ikiwa mmoja wenu ana matatizo kiuchumi, kuugua, ajali n.k, lakini sio kwenye Uasherati...

Baadhi ya wanawake hushindwa kufanya uamuzi hasa ikiwa mwanaume ndiye “kitega uchumi” au wanafuata maadili mema. Wengine hung’ang’ania kubaki katika ndoa “for the sake of kids” na hii ni kutokana na kutokuwa na kipato kitakachomfanya amudu maisha yake na watoto ikiwa ataomba/kupewa Talaka.

Pamoja na mambo au sababu nyingine zinazopelekea tabia hii mbaya hizi zifuatazo hupelekea watu kutoka nje ya uhusiano wao wa kimapenzi/ndoa.

*Kutopata mapenzi ya kweli hasa ikiwa Kijana/Binti alilazimishwa kuoa/kuolewa na mtu ambaye hakumpenda “for the sake of Radhi ya Wazazi”, maadili, kuhofia umri n.k..

*Uchafu, kutojijali au kujipenda.-Wote mwanaumena mwanake.

*Kutoridhika au kutosheka na wakati mwingine uroho tu- Wanaume zaidi.

*Mmoja wenu kuwa na shughuli nyingi za kikazi/Biashara, kusafiri – Wote mwanamke na mwanaume..

*Tamaa ya kumiliki vitu Fulani –Wanawake zaidi.

*Kujaribu na kujifunza mambo mapya/mitindo lakini kutokana kufuata maadili unaogopa kuwa wazi kwa mpenzi wako-Wake kwa waume..

*Kukosa tendo la ndoa kwa muda mrefu ikiwa mwanamke ana Mimba kubwa /amejifungua n.k-Wanaume.

Pamoja na mambo mengine mapenzi ni kuambizana ukweli, ikiwa mwenzi wako hakuridhishi, mchafu n.k ni vyema ukatafuta muda na ukamweleza taratibu tena kwa upendo, kumbuka hakuna Mwanadamu aliyekamilika hapa Duniani kila mmoja ana kasoro zake.

Mpenzi wako (haijalishi mwanaume/mwanamke) ni kama mtoto anatakiwa kubembelezwa, kuelekezwa na ikiwezekana kufundishwa baadhi ya mambo ambayo hayajui.

Sababu za Kusaliti Pendo

Dalili kuwa mpenzi anatereza

Dalili za Uhusiano Unaoharibika

Yale yanayoweza kuharibu ndoa!

penzi ni nini hasa

Misingi ya Uhusiano wa Kimapenzi

Mitindo Tofauti ya Kungonoana

Mitindo Tofauti ya Kungonoana!

Baada ya kukuru-kakara za kuwekana sawa/tayari kwa kufurahia tendo takatifu, mlaze mpenzi wako juu ya kitanda/mkekani au kwenye sakafu (inategemea mnapenda wapi na usisahau kuwa comfy), panua na wakati huohuo shikilia miguu kitendo kitakachofanya mapaja yake yainuke pia alafu wewe jiweke kati (rejea jinsi ya kusaga “ntili” ukiwa umepiga magoti hapo juu).

Alafu sogeza mikono yako mbele zaidi ili ushike sehemu yake ya mapaja pale ktk ili usije ukaangaka, mara baada ya kuwa kwenye “control” jisogeze mbele ili uume ukuingie ukeni na kisha anza kwenda mbele-nyuma taratibu huku na badilisha mwenda jinsi uwezavyo.

Wakati wewe unafanya hivyo yeye anatakiwa kuzunguusha kiuno (sio wanawake tu wanaotakiwa kukata viuno, wanaume pia wanatakiwa kujua kucheza ngoma ei zile za asilia........) au hata kujisogeza huku na huku ili agonge pombe zote za uke na kuwafanya wote mfurahie mnachokifanya.

Ikifikia wakati umechoka au unakaribia kufika kunako utamu basi jaribu kufanya kama vile unamlalia…….bila kuachia miguu/mapaja yake, kufanya hivyo kutasababisha kisimi kiguse sehemu ya juu ya eneo la uume wake na kukusababishia upate ile wanaita “Double O”.

Sultan!

Ktk mkao huu mwanamke anakuwa mtendaji mkuu, mwanaume hapa anatakiwa kutulizana, kufuata maelekezo na kusogea akisogezwa,kuvutika akivutwa yaani yeye ni kufurahia utendaji wako wa mwanamke.

Jinsi ya kufanya.

Mkae mkiangaliana na wakati huohuo miguu imepanuliwa kwamba yeye atapitisha miguu yake sehemu ya kiuno na hapo mnaweza kuanza kupeana mahaba kwa kukumbatiana, pigana busu, shikana, kumbatiana, papasana na hata kuambiana yale maneno matamu ambayo ukiwa nje ya chumba ni machafu si wayajua eeh? hey yaongee ikiwa unapenda au anapenda na yanawaongezea hamasa!

Taratibu mlaze mpenzi wako chali kitandani ukiwa katika mkao ule ule kwamba uko mbele yake na umepanua miguu yako (yeye akiwa katikati), ikunje miguu yako sehemu ya magoti na nyanyua miguu yake na kuiweka kwenye mabega yako jivute kwa mbele ili mboo ikuingie vema.

Ktk mkao huu kiuno kinakwenda vema kabisa kwa vile wewe ndio mtendaji mkuu na yeye atakuwa ametulia tu akisikilizia utamu, huitaji kuharakisha au kumharakisha na badala yake chukua muda kum-pamper huku wamtomba (hey hapo mwanamke anatomba japo hahahah) pia unaweza ukabadilisha mwendo kwa kupiga nje-ndani (nenda mbele na nyuma) taratibu huku ukilamba/nyonya vidole vyake vya miguuni na anapofika kileleni mnyonye kwa kuvuta dole gumba la mguuni ili kumuongezea utamu (baadhi ya wanaume hupenda hiyo hivyo mjaribu na wako).

Spoony

Baada ya kuandaliwa unalalia ubavu kisha yeye mpenzi wako analala kwa nyuma,kisha wewe unapanua mguu ili aweze kuingiza uume kisha rudisha mguu juu ya mguu mwingine (kama ulivyokuwa) na yeye anaendelea kukufanya taratibu mpaka wote mtakaporidhika au maliza haja zenu.

Ngono ni sanaa

Somo la mapenzi

Somo la mapenzi

Hivi unajua kuwa watu tunatumia muda mwingi kufikiria kuhusu mahusiano? kwamba unatamani ungekuwa kwenye uhusiano ikiwa huna mwenza, ungekuwa nje ya uhusiano ulio nao kwa sasa kwa vile huna raha, ungebaki kwenye uhusiano uliouacha kwa sababu bado unampenda mpenzi wako au kuboresha uhusiano ulio nao ambao unaelekea kubaya.


Mahusiano yanachukua/gharimu sehemu kubwa sana ya muda na nguvu zetu, mahusiano ni muhimu ktk maisha yetu, mafanikio yetu, furaha/raha zenu. Mahusiano yanagusa kila kona ya maisha yetu kuanzia kazini, nyumbani, familia na mapenzi.

Uhusiano wenyewe una maana kuwepo pale kwa ajili ya mwenzio, kuchangia na kusheherekea undani wa furaha ya ajabu na ya kipekee mioyoni mwetu (nani anataka kuwa mpweke jamani eeeh?).


Nyumbani na kwenye familia uhusiano una maana kufurahia ukuaji wenu, ukaribu wenu, kupena matumaini, kukosoana, kurekebishana, ushirikiano wenu n.k.


Kazini/Shuleni uhusiano una maana kusaidiana, kurekebishana, kupena matumaini, kukosoana, kupongezana yanapookea mafanikio n.k.
Kwenye mapenzi uhusiano unamaana kusheherekea “u-mutual”(nipe- nikupe), kupeana mapenzi yasio na kikomo, kushirikiana kila kitu kuanzia mate mpaka miili yetu, kukosoana, saidiana, rekebishana, jifunza n.k.


Kitu kinachonigusa kuhusu mahusiano ni kuwa hatukufundishwa tulipokuwa shuleni japo kuwa tulihitaji sana kujua jinsi ya kuanzisha uhusiano mzuri na wa kudumu kwa muda mrefu ktk maisha yetu, yaani kama vile tulivyofundishwa Kiingereza, Hisabati, Historia, Sayansi, Sanaa na Michezo

penzi ni nini hasa

Misingi ya Uhusiano wa Kimapenzi

Penzi halilazimishwi

Penzi halilazimishwi!



Natambua kuwa kila mtu ana tafsiri yake ya neno mapenzi au maana halisi ya kupenda. Moyo wako siku zote unajua pale unapompenda mtu na hivyo huhitaji kuulazimisha, kuushawishi au kuomba ushauri kwa watu wengine kama itakuwa sahihi kuwa na fulani au la!

Penzi na jinsi linavyojitokeza ni hadithi ndefu na inachanganya, sote tunajua swala zima la mapenzi linachanganya na halina kanuni lakini ni moyo wako pekee ndio utakao jua kama hapo "umefika bei" au la!


*Penzi tamu na mara nyingi hudumu kwa muda mrefu ni lile lililo na chanzo kwenye urafiki. Urafiki mwema siku zote huwa hauna mwisho hali kadhalika mapenzi ya kweli hayana mwisho sasa hebu changanga pamoja uone matokeo.

Mnapokuwa marafiki kwanza nakuzoeana sana kiasi kwamba mnasaidiana vilevile mnakuwa huru au wazi ktk kuzungumzia mambo binafsi kama vile furaha, matatizo,mafanikio namengine mengi muhimu napengine kujua mapungufu yenu ambayo kama marafiki mnakuwa tayari mnajua jinsi ya kuishi nayo aukuyavumilia na hivyo mnaendelea na maisha yenu yenye furaha na amani kama marafiki na wakato huohuo wapenzi.


Tatizo la penzi lililojengeka ktk urafiki ni kwa mmoja wenu kuhofia urafiki kufa ikiwa ataziweka hisia zake wazi kwa mwenzie. Ikiwa utamkataa ni wazi kuwa itakuwa ngumu sana kwake kuvumilia kukuona wewe kuwa na mtu mwingine kama mpenzi na sio yeye.


*Penzi liloegemea kwenye kupendeza/kuvutia hufa au hufikia kikomo mara tu mmoja wenu anapobadilika au kutovutia tena kutokana na sababu tofauti za kimaisha. Ukitaka penzi libaki pale pale basi ni wajibu wako kuendelea kuwa hivyo ulivyo (kupendeza/kuvutia).


Nakumbuka juzi nikiwa kwenye “office” , Jamaa (nafanya nae kazi) akinilalamikia kuwa “My wife didn’t look like that when we met, she was so hot like those women” (akionyesha wanawake wenye maumbile mazuri na wamependeza kimavazi)” nikamuangaliaaaaa kisha nikamuuliza unadhani hakuvutii tena?


Akasema “ndio, hata kufanya mapenzi inakuwa ngumu siku hizi”. Nikamuuliza tena huoni kuwa amekuwa hivyo alivyo kwa sababu yako? Akauliza “kwanini” nikamwambia hukumwambia wazi kuwa unachopenda kwake ni “the way she look, nothing more” angejua angefanya uamuzi wa busara kuliko kufunga ndoa na wewe na kisha kukuzaliya watoto. Nikamwambia the woman needed/needs ur love and support!........

Penzi lisilo na mwisho ni lile linalijotokeza kiasilia (naturally) kwamba unakutana na mtu (sizungumzii love at 1st sight hapa) kisha mnajikuta mnapendana kwa dhati penzi hili hunawiri vizuri sana na hudumu kwa muda mrefu na ikitokea mmoja kumuacha mwenzie basi itakuwa ni sababu “nzito” ambayo ni kifo (ndio pekee kitatenganisha penzi hili).


Atakae baki humuia vigumu sana kuwa na mpenzi mwingine na itamchukua muda mrefu sana “kumdondokea” mtu mwingine “Bond” ya penzi hili ndio wengine huita penzi la kweli.


penzi ni nini hasa

Misingi ya Uhusiano wa Kimapenzi