Showing posts with label Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake. Show all posts
Showing posts with label Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake. Show all posts

Tuesday, March 17, 2009

Jinsi ya Kufurahisha mwanamke Katika Ngono

Jinsi ya Kufurahisha mwanamke Katika Ngono

WATU wengi (hasa baadhi ya wanaume) ama hawajui au hawajali ni kitu gani wenza/mwenza wake anataka kufanyiwa au akifanyiwa kitamsisimua (Turn on) hata kama amechoka sana.

Uchunguzi unaonyesha kuwa Wanaume wengi hasa kutoka nchi za Kiafrika hujali zaidi kumaliza hamu zao za mwili na kamwe hawajali kama wenza/Mwenza wake yuko tayari au la!.


Mf: Inasemekama baadhi ya Wanaume wa Kiafrika ambao ni wakubwa kiumri (wa zamani), au wale ambao wanathamini sana jadi zao asilia ndani ya Afrika, kitu cha kwanza watakacho kuambia mkiwa chumbani ni “njoo hapa" au "vua nguo basi” na kisha utavamiwa kabla hata wewe mwenyewe hujawa tayari na unalazwa chini kama sio unawekewa uume mbele ya uso wako.......halafu watu mnashangaa kuambiwa "mume wangu alinibaka".


Mfano huo unaonyesha ni kwa jinsi gani baadhi ya wanaume wanavyojipendelea(wabinafsi), na mara zote huweka akilini mwao kuwa wanawake/mwanamke ni chombo cha kumridhisha / kumstarehesha/ kumfurahisha na kumliwaza yeye “mwanaume”.

Napenda kusema kuwa mwanamke kama mwanadamu pia anahaki ya kuridhishwa, kustareheshwa, kufurahishwa na kuliwazwa pia.

Dhana hiyo potofu imepelekea baadhi ya makabila kuendeleza mila za kuwakusanya wasichana ktk umri wa kuvunja ungo (mwali) na kuwafundisha jinsi ya kuwaridhisha mwanaume kimapenzi “ hao wana bahati”.

Lakini kwa wale ambao hawafuati/hawana/hawazijui mila hizo wamekuwa wakifuatilia kwa makini na kuamini kila kinachoonyeshwa kwenye “Video” ailimradi tu kiwe kinahusu jinsi ya kumridhisha mwanaume kimapenzi.


Inasikitisha sana kuona pia baadhi hufuatilia hatua kwa hatua kila kinachoandikwa kwenye Magazeti na baadhi yao huamua kutafuta “Kungwi” na kulipishwa ili wapatiwe ujuzi wa kufanya mapenzi ili kuwaridhisha wapenzi wao.


Ninavyofahamu mimi ni kuwa , ujuzi, utundu katika kufanya mapenzi haufundishwi hata kidogo ila ni

-ubunifu wako,
-kujaribu,
-kuujua mwili wako na wa mpenzi wako,
-ufurahiaji wa mwili wako,
-kujiamini kwako,
-uwazi na ushirikiano wa mpenzi wako.


Ni vema jadi ikabadilishwa na swala zima la kufundishwa/fundwa liwe kwa jinsia zote mbili. Wake kwa waume wafundishe jinsi ya kuridhishana, jinsi ya kufurahia na yale mambo muhimu ya mahusiano ya kimapenzi iwe ni ndoa au mahusiano ya kudumu nje ya ndoa.

Pia ni vizuri utambue kuwa unapoamua kufanya tendo la Ndoa au Ngono ni vyema ukajua mahitaji ya mwenzio iwe mwanaume/mwanamke, jaribu kufamnyia Mwenza wako kitu/vitu tofauti na alivyokuwa akitarajia/alivyozoea ni vizuri zaidi na kutamfanya aendelee kuwa na hamu ya kuwa na wewe kwa muda mrefu “usipigwe kibuti” kwa vile unamjulia.....yaani unajua vipele vilipo na unavikuna vilivyo.

Saturday, March 14, 2009

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake



Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo huwawezesha kusikia utamu wa kufanya mapenzi/ngono tofauti na wanaume

Sehemu maarufu ni

-kisimi na
-G spot (kipele G) lakini kuna eneo lingine linaitwa
-AFE ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke na vile vile
-kuta za uke bila kusahau
-mwanzo wa uke.

Mwanamke anaweza kufurahi/kupata utamu wa tendo hili takatifu kwenye maeneo yote hayo ikiwa mpenzi wako anajua kuwajibika (sio kufanya kwa muda mrefu tu bali kujua kucheza na kiungo chake a.k.a uume) pamoja na utundu wake pia wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi na huru kumuelekeza ikiwa kagusa kusiko au kapatia kunako utamu.

Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti na unazidiana ikiwa umejaaliwa kuupata.

Sehemu tofauti za utamu wa ngono kwa wanawake

1.Kisimi-unapopata utamu wa kisimini kwa njia ya kusuguliwa/shikwa/chezewa kwa ulimi, kidole au kichwa cha uume. Utamu wa mahali hapa hupatikana haraka na hufanya usitamani tena tendo hilo kwa muda fulani (3-dk15) na kikiguswa tena hukupa maumivu fulani hivi (inakuwa sensitive) kwa baadhi ya wanawake ndio mpaka kesho tena.

2.Kipele G-Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu sana mwanamke mara zote huzirai kwa muda (kuishiwa nguvu) huchukua muda wa dk20-45 kupatikana, na ukipatikana hamu haikuishii hivyo wakati wewe umezimia mpenzi anaweza kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi basi na wewe unaendelea kutafuta goli lingine.

Ikiwa mpenzi ana uwezo wa kumaliza lakini anabaki kasimama (dinda) au anajua kujizuia basi unaweza kutandika goli tatu ktk mzunguuko mmoja (hii ni kutokana na uzoefu).

3.Mwanzo wa uke:utamu wa mahali hapa haukupotezei hamu kwani haufiki kileleni bali unasikia utamu fulani hivi....sasa ukitaka kufika kunako mwisho basi sisukumize ili uume uingie ndani zaidi ili aweze kugonga G au nguzo/kuta za uke...(kwa uzoefu)

4.Kuta za uke (kona zote kwa ndani), utamu wa eneo hili unapatikana toka mwanzo uume umeingizwa, na kadri mnavyoendelea kufanyana umoto unazidi na hatimae unamaliza (fika kileleni) ila sina uhakika kilele cha kuta za uke kina uhusiano gani na kufika kileleni.....utamu wa hapa haukumalizii hamu kwani unaweza kuendelea mara baada ya kufika kileleni as long as mpenzi bado mgumu (kadinda)....(kwa uzoefu)

5.Mwisho wa uke (ni karibu na njia ya uzazi.....umewahi kufanya mapenzi/ngono na mpenzi wako akagonga mwisho wa uke na ukasikia maumivu fulani lakini bado unapenda aendelee na wakati mwingine unaomba afanye kwa nguvu (ili usikilizie maumivu hayo)? Je umewahi kubahatika kufika kileleni (sikia utamu) ikiwa anakufanya kwa nguvu huku ukisikia maumivu?

Kama jibu ni ndio basi huko ndio eneo la "mwisho wa uke", utamu wa huko hazimii mtu bali unaweza kutokwa na machozi kama sio kulia kilio cha furaha na maumivu, vilevile lazima utatoa ukelele wa maana sio ule wa kujifanya kumridhisha mwanaume....ukelele wa huko ni "INAUMA lakini TAMU" if u know what I mean.....pia unaweza kutokwa na damu( ni kwa uzoefu).

Utamu wa mahali hapa utakufanya utake zaidi LAKINI hakikisha unamruhusu mpenzi wako kufika huko ikiwa mnaaminiana (mko kwenye uhusiano wa kudumu na msafi kiafya) na uko tayari kuwa mama ikiwa jamaa atatereza na kuachia kidogo kwani ni mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.